Alhamdulillah namshukuru maulana kwa kunipa a husband huyu,naamini tutazeeka pamoja inshAllah.namwelewa yeye pamoja na mapungufu yake...... from my experience HESHIMA is everything,both sides.hii itawajaalia uvumilivu na utulivu.upendo na amani vitatawala.hofu ya kila mmoja kumpoteza mwenzie,sio...
Daaàah hivi unajua watoto wengi waliotelekezwa na baba zao ni watoto wa mpango kando, yaaaan wengi wao ni baba kamuongopea mwanamke. Ommy dimpoz baba alikua ana familia teyari, diamond baba yake teyari alikua ana familia tena baba wote wawili, same to Majaliwa.
Mmejaa lawama kwa wanawake eti...
Nani kalaumu raia kufanya uokoaji na sio chadema kila mwenye akili timamu ameona upumbavu wa serikali yetu na amepaza sauti. Wanajeshi wa majini wangewahishwa on time naamini wote wangetoka hai... Majaliwa kapata helkopta ya kwenda huko lakini sio watu ambao wangetoa msaada kwa waliokutwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.