Nahitaji fremu 2 ili kila moja iwe mbali na mwenzake ili mzigo uondoke kwa Kasi, na pia unapofungua frame kumbuka hapo Kuna leseni ya biashara na Tax clearance, na frame unapoichukua lazima uikarabati kwa kuweka sawa kutokana na biashara utakayoifanya ili iwe mvuto kwa wateja, notahitaji na...
Habari za majukumu wadau,
Mie ni mjasiriamali mdogo wa nafaka, natoa mikoani nazileta mjini nauza kwa jumla, Sina fremu ya kufikishia biashara yangu hivyo nikifika madalali hunidaka na kunidalalia kwa wanaouza kwa jumla nami nageuza zangu shamba. Hii hali nimejikuta kama nawatajirisha madalali...
Al
Alafu unaivuruga kwenye maji ndio uogee au unangoja iyayuke ndio uogee, maana mi nimejaribu kuinyunyizia aiyayuki mpaka uikorogea na mkono ndio inayayuka alafu naogea.
Kwa kweli toka nianze kutumia Chumvi kwa kuogea, kutupia chini ya kitanda na kumwagia ndani na nje ya nyumba kila na kila pembe ya nyumba na vyumba na milango na madirisha na getini hadi juu ya paa la nyumba nzima kwa kweli kila ifikapo saa 3 usiku mapaka yanasumbua sana kwa kulia uku...
Ndio ikiishia 2 unakua refunded hela yote bila faida ikizidi 2 inakula na faida ila ukiwa chino ya 2 upati hata 100 kwa kampuni yoyote ya betting hapa duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.