Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
ntarudi
Siku wakilkupiga ukaanza kukojoa dagaa ndio utajua wapo !!Uchawi haupo.
Unamaanisha Yesu yupi wa Chato au wa NazarethDawa ya nguvu za giza ni Jina la Yesu pekee. Damu ya Yesu ni kiboko cha shetani.
JESUS IS LORD!
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Ninamaanishs Yesu Mnazareth. Kwani kuna Yesu wa Chato?Unamaanisha Yesu yupi wa Chato au wa Nazareth
Yupo katangazwa na bunge tukufu la Puerto RicoNinamaanishs Yesu Mnazareth. Kwani kuna Yesu wa Chato?
Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Ongeza na hikiBado sijajua siri iliyojificha kwenye chumvi na mkaa. Wengi hutumia kama kinga dhidi ya uchawi na ushirikina. Wengine huweka kitandani au nani ya unga na mchele ili kuzuia chuma ulete.
Matumizi ya mkaa na chumvi yanajulikana kite kama kinga dhidi ya nguvu za Giza. Swali ni je kuna nini ndani ya mkaa na chumvi hat izuie uchawi na ushirikina, au mkaa na chumvi ni ushirikina pia?
Karibu
Ndulele je!?Ya ganja nimeisikia juzi. We wa pili kulisema.
Na nduleleWengi madukani wanaweka mkaa na sindano juu ya pesa ili kuzuia chuma ulete
Kuna mganga mmoja alikuwa anasema awamu hii maisha yamekuwa magumu sana, hivyo kupelekea mambo ya kichawi kuwa mengi,.Nowdays naona mada za uchawi na urozi zinashika kasi, nini sababu au sababu ni octoba?
Hii sijawahi kuisikia. Labda Grand Mshana aje atoe neno.Ndulele je!?
Kitunguu swaumu unakifanyaje? Na mkaa inatakiwa ulio tumika ukazimwa au ambao aujatumika?
Wote boss wao ni mmoja.Ni kulwa na DottoYeye mchawi au mganga