Sijaelewa, ni kwamba tayari upo safarini na huyo manzi au unatarajia kusafiri naye siku ya kesho yaani umekutana naye kwenye kukata tiketi? hebu jibu kwanza hayo halafu nitakushauri kitu kizuri
Tatizo hatujui tunachokitaka, hivyo chochote kitakachokuja tutakitoa kasoro tu. Na siku zote ng'ombe haoni thamani ya mkia wake mpaka ukatwe na majuto ni mjukuu....nimemaliza!
hata sijui tunakoelekea ni wapi maskini....na huyo aliyedesign marobot ya shughuli hizi ana matatizo makubwa ya kimahusiano, alipata wapi hili wazo sasa kwa mfano?? wateja wake wa majaribio ni kina nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.