Kwa kifupi inaonyesha wewe unaielewa hii story kuliko mleta Uzi ila namshukuru Kwa kuanzisha wengine tukaelewa japo Kwa kiasi flani kuhusu mwanzo na kufeli Kwa Osama.thanks
Kanisa katoliki ndio taasisi kubwa ya kidini au niseme ndio thehebu ambalo mategemeo yetu tuliowengi serikali inapopotoka au ikatokea dhuluma kubwa Kwa taifa la mungu kama tulivyoshuhudia kipindi hiki kanisa lichukue hatua ya kuikemea serikali Kwa nguvu zote Toma rohoni tena si rohoni tu...
Mara nyingi huwa nalazimisha akili yangu kukataa ule usemi wenzetu wanaosema sisi mweusi ni baboon, sasa kwahaya niliyoyashuhudia Kwa kipindi cha takribani miaka kumi nafsi inanisuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.