ladyisa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 660
- 149
Anachuki na muhongo baada ya kuonesha kile cheti chake alipata zero.
ahaaaaa.basi leo nimepata picha..jamani ili suala la escrow watu wamepata chance ya kulipiziana visasi
Anachuki na muhongo baada ya kuonesha kile cheti chake alipata zero.
Ilikua inasemaje?
Lowasa aaliiiba tena kiasi kikubwa cha fedha
Acha unafiki lete ushahidi sio kuropoka tu.Lowasa aaliiiba tena kiasi kikubwa cha fedha
Abdallah mavitumbua umetolokaa lini Mirembe?:sad:Sendeka ni mnafiki tu.
Sendeka ni mnafiki tu.
:sad:Unajua CCM walidhani kwa kutoa nafasi Muhongo kujitetea, ndiyo watazima issue yote, kumbe ndo wamewasha moto, wameibua hata ambayo yasinge julikana. Mwenzao Lowasa alipo wajibika tu ikawa salama ya serikari na pia mambo mengine ambayo Dr. Mwakyembe alisema yalifichwa ili kuinusuru serikari, maana kama Lowasa na akina Karamagi wangekomaa na kutetewa kama wanavyo fanya ccm leo Unge uona Muziki wake.Lowasa aaliiiba tena kiasi kikubwa cha fedha
LOWASSA amelikoroga, , njama zake za kutaka PINDA adondoshwe zimegonga mwamba na washirika wake wakuu, CHENGE, NGELEJA wanakaangwa, ni pigo kubwa kwa LOWASSA. mshirika wake mkubwa aliyebaki ni OLESENDEKA, sijui atamuokoaje bwana Manywele na mpaka PINDA aondoke