Recent content by Savaa7

  1. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Kama asingetoa TZS20bn za elimu bure watoto wetu zaidi ya 1,317,018,43 wangegeuka machokoraa

    Sema wako na sio wetu. Tambua haki yao na wajibu wa serekali kwa wananchi.
  2. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Kama asingetoa TZS20bn za elimu bure watoto wetu zaidi ya 1,317,018,43 wangegeuka machokoraa

    Tambua haki zako ndugu hizo fedha ni kodi unazolipa kila siku hata mtoto ana tarajia kuzaliwa analipa ikiwa ni pamoja na mirahaba (gawio)ss iweje uone ni hisani ya raisi? Acheni ujinga tambueni haki na stahiki zenu kama Watanzania na walipa KODI.
  3. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Mikoa ya Rukwa, Morogoro, Mbeya na Dar es Salaam vinara wa utapeli wa Mtandaoni

    Waambieni watafute hela waache kujifanya hawaelewi.
  4. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

    Uko sahihi.
  5. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Hizi data za average IQ za Africa mzipuuze

    Akili mgando ninyi ndo wale mnao amini kuwa babu na bibi zenu waliotangulia ni mapepo mzimu na mashetani ila babu na bibi za wazungu ni watakatifu.Amka kutoka usingizi mzito uliolazwa na hao usema wana iQ kubwa.
  6. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Wachina ni wachaga waliochangamka tabia zao ni zinafanana

    Acha maneno ya kijinga fanyeni kazi sio kuwaita wenzenu wezi mnapo ona wanafanikiwa na wewe kaibe au katapeli kama ndo kufanikiwa acha wivu wakijinga tafuta hela.
  7. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Jinsi tunavyoibiwa petrol station

    Ilinikuta hiyo picha ya ndege kibaha sita sahau halafu ilikuwa usiku.
  8. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Orodha ya makabila Tanzania

    Uwe unapitia ulicho andika kabla ya kupost.
  9. Savaa7

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wasira: CCM inasimamia amani, iko tayari kukosolewa

    Mwambie huyo mzee kwavile yeye ameshiba aache kuhubiri mambo ya kihuni.
  10. Savaa7

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kassim Majaliwa: Niwahikikishie Watanzania Uchaguzi utakuwa Huru, Haki na Wazi

    Rais ni mzima anaendelea na majukumu yake.
  11. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Mamilioni ya wananchi Tanzania wanaiombea CCM kiurithi uzima wa Ikulu milele na milele ili waendelee kufurahia AMANI

    Hayo ni yako.Hao mnao wasifia kuwa ni watunza amani ndio wanao sababisha uvunjifu wa amani.Muwashauri waongoze kwa misingi ya haki.Acheni ucha
  12. Savaa7

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hatua yoyote tunayoichukua kama Serikali ni kwa faida ya wananchi

    Shida sio hatua shida ni mfumo na wenye mamlaka.
Back
Top Bottom