Teacher maslahi sikiliza kazi ya uwalimu sio biashara au kumwagiza mwanafunzi aje na fimbo ya muanzi Kila juma3,ungechagua kazi nyengine kama ualimu hakuwa ndani yako
Vyuma hivi hata uvipake oil chafu haviwezi legea
Chuma cha kwanza Kwa sisi tunaoishi uswahilini ni shule za msingi za serekali, hizi shule sasa wazazi tunawatumikia walimu bila kujua kibri hichi wamekitoa wapi tena Kwa kasi ya ajabu kupitia utafiti niloufanya ndani ya miezi 4 ilopita RAHA YA...
Wakuu heshima kwenu,
Leo tangu kumekucha nimekaa nikiwatafakari dawasa na hao wizara ya maji Kwa ujumla, tangu udogo wangu sijawahi ona Dar ikikosa maji hasa kipindi hichi cha mvua lakini mwaka huu najionea maajabu yani mashikoro mageni
Kinachowabeba walalahoi huko mtaani Kwa sasa ni hizi...
We unawaza kikufaacho chako mkuu kuuza hiyo ni sawa na kuuza nyumba yako halafu uende ukapange.ndio tuna rasilimali za kutosha kama mbuga zinazoendelea kuliingizia taifa Pato,lakini waza ikitokea siku utalii ukakata kama enzi za korona na hakuna misaada tutauza nini kutatua shida zetu za...
Wakuu nachukua nafasi hii kuwapongeza TANESCO kwa kuweza kupiga hatua ya ukuaji kwa kuhakikisha licha ya ukame na vipindi tunavyopita bado wamekuwa wakitupa umeme pasipo kukatika masaa 24/7.
Muda huu wana Dar tungekuwa huku tunalia na maji huku tunalia na TANESCO. Wote tunakumbuka vipindi vya...
Wakuu tangu Jana nimeweka hela kwa akaunti meridian kubet kwangu imekuwa changamoto,kila nikijaribu kulog in haikubaliki,je tatizo ni simu yangu au wao naombeni msaada wenu
Wazee kama nina gundu odds 519 siku 4 zimepita sijala hiyo hela wala siijaipata yote ,siku ya kwanza kuitoa ikagoma hewani,ikarudishwa nkaitoa kwa njia ya vocha kampuni fulani hadi jana mawakala wao na kampuni ni shida Leo naambiwa nsuburi hadi kesho Leo nataka niseme kampuni za uhakika tz n...
Hivi premier bet nna miaka mingi sijaitumia juzi nkawajaribu kwa stake ndogo tu mkeka ukajibu,Leo nikaivuta kwa njia ya voucher tangu saa 7 mchana hivi hela imekatalia hewani,sio kesi ,kesi unapopiga simu kwao kutaka mssada na msaidizi anakata simu kabla ajakusaidia hii taasisi ya bodi ya...
Inakuaje kampuni zinakuwa na uhuni mwingi game ya azamu coast imeeisha .na mi niliweka mechi iishe na goli 5 mkeka mwengine goli 6 na mwengine goli 7 lakini mpira umeisha dakika 20 zimepita kwenye mkeka ukifungua unasoma coast 1 azam 3 mara coast 1 azam 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.