We unawaza kikufaacho chako mkuu kuuza hiyo ni sawa na kuuza nyumba yako halafu uende ukapange.ndio tuna rasilimali za kutosha kama mbuga zinazoendelea kuliingizia taifa Pato,lakini waza ikitokea siku utalii ukakata kama enzi za korona na hakuna misaada tutauza nini kutatua shida zetu za...
Wakuu nachukua nafasi hii kuwapongeza TANESCO kwa kuweza kupiga hatua ya ukuaji kwa kuhakikisha licha ya ukame na vipindi tunavyopita bado wamekuwa wakitupa umeme pasipo kukatika masaa 24/7.
Muda huu wana Dar tungekuwa huku tunalia na maji huku tunalia na TANESCO. Wote tunakumbuka vipindi vya...
Wakuu tangu Jana nimeweka hela kwa akaunti meridian kubet kwangu imekuwa changamoto,kila nikijaribu kulog in haikubaliki,je tatizo ni simu yangu au wao naombeni msaada wenu
Wazee kama nina gundu odds 519 siku 4 zimepita sijala hiyo hela wala siijaipata yote ,siku ya kwanza kuitoa ikagoma hewani,ikarudishwa nkaitoa kwa njia ya vocha kampuni fulani hadi jana mawakala wao na kampuni ni shida Leo naambiwa nsuburi hadi kesho Leo nataka niseme kampuni za uhakika tz n...
Hivi premier bet nna miaka mingi sijaitumia juzi nkawajaribu kwa stake ndogo tu mkeka ukajibu,Leo nikaivuta kwa njia ya voucher tangu saa 7 mchana hivi hela imekatalia hewani,sio kesi ,kesi unapopiga simu kwao kutaka mssada na msaidizi anakata simu kabla ajakusaidia hii taasisi ya bodi ya...
Inakuaje kampuni zinakuwa na uhuni mwingi game ya azamu coast imeeisha .na mi niliweka mechi iishe na goli 5 mkeka mwengine goli 6 na mwengine goli 7 lakini mpira umeisha dakika 20 zimepita kwenye mkeka ukifungua unasoma coast 1 azam 3 mara coast 1 azam 2
Pole na majukumu ya kikazi mkuu wetu wa mkoa na hongera kwa kuendelea kuipigania Arusha. Ninaiomba tumia ushawishi wako baada ya mimi kuhushudia mkesha mkubwa ulofana sana kule Dar ninaomba mkesha ule uje na hapa kwetu Arusha kwani mkoa huu unahitaji sana upako wa namna ile.
Kuna roho...
Mkesha umefana sana,maneno ya mkuu wa mkoa yalikuwa na roho wa Mungu ndani yake,kama chizi atoki kwenye familia yako unaweza ukacheka hata nyie mnaoponda ni kwa vile tu mmevimbwira na shibe na kiburi cha uzima walokuwa pale ni watu ambao hawana mlivyo navyo wengi wao wametumia kila mbinu...
Mi sio muhenga mzee wangu sizungumzii siku wagombania uhuru wanaitumia yanga kama eneo la kupanga mipangoyao lakini wa.eusahau mchango wa yanga kwao hadi Leo wamewaacha kule mabondeni namzungumzia mtu wa soka sir manji nilimuona akiitoa yanga kutoka sehemu moja kuisogeza sehemu,sibwabwaji mama angu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.