Recent content by SAUTI YAKO

  1. S

    Serikali kuuza dhahabu ni jambo la hatari kuliko tunavyofikiria

    We unawaza kikufaacho chako mkuu kuuza hiyo ni sawa na kuuza nyumba yako halafu uende ukapange.ndio tuna rasilimali za kutosha kama mbuga zinazoendelea kuliingizia taifa Pato,lakini waza ikitokea siku utalii ukakata kama enzi za korona na hakuna misaada tutauza nini kutatua shida zetu za...
  2. S

    Penye kusifia tusifie, hongera TANESCO

    Wakuu nachukua nafasi hii kuwapongeza TANESCO kwa kuweza kupiga hatua ya ukuaji kwa kuhakikisha licha ya ukame na vipindi tunavyopita bado wamekuwa wakitupa umeme pasipo kukatika masaa 24/7. Muda huu wana Dar tungekuwa huku tunalia na maji huku tunalia na TANESCO. Wote tunakumbuka vipindi vya...
  3. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu tangu Jana nimeweka hela kwa akaunti meridian kubet kwangu imekuwa changamoto,kila nikijaribu kulog in haikubaliki,je tatizo ni simu yangu au wao naombeni msaada wenu
  4. S

    PreGE2025 Baada ya kuvuja taarifa za Sugu kuendelea kushikiliwa, aachiwa Mchana huu Dar, kapigwa sana

    Hata vijana wenyewe wenye siku yao hawajui kama kuna watu wamepigwa wako size huku itigi na k vant na double kick
  5. S

    Maokoto ya wanamichezo wa nchi mbalimbali wanaoshinda medali za Olympics

    Jifunze kwanza fitina ya kuipata hiyo nafasi mpwa kabla ujajifunza hiyo baiskeli mpwa
  6. S

    Maokoto ya wanamichezo wa nchi mbalimbali wanaoshinda medali za Olympics

    Nyumba isokuwa na amani ata ukiwapikia pilau la nyama si kitu
  7. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee kama nina gundu odds 519 siku 4 zimepita sijala hiyo hela wala siijaipata yote ,siku ya kwanza kuitoa ikagoma hewani,ikarudishwa nkaitoa kwa njia ya vocha kampuni fulani hadi jana mawakala wao na kampuni ni shida Leo naambiwa nsuburi hadi kesho Leo nataka niseme kampuni za uhakika tz n...
  8. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hata mda huu nimepiga mara mbili wanapokea halafu wanakata.hela tangu jana hawajarudisha kwenye akaunti kuna kampuni zinavunja sana moyo kwa kweli
  9. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi premier bet nna miaka mingi sijaitumia juzi nkawajaribu kwa stake ndogo tu mkeka ukajibu,Leo nikaivuta kwa njia ya voucher tangu saa 7 mchana hivi hela imekatalia hewani,sio kesi ,kesi unapopiga simu kwao kutaka mssada na msaidizi anakata simu kabla ajakusaidia hii taasisi ya bodi ya...
  10. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Inakuaje kampuni zinakuwa na uhuni mwingi game ya azamu coast imeeisha .na mi niliweka mechi iishe na goli 5 mkeka mwengine goli 6 na mwengine goli 7 lakini mpira umeisha dakika 20 zimepita kwenye mkeka ukifungua unasoma coast 1 azam 3 mara coast 1 azam 2
  11. S

    Watuhumiwa wa mande ya Ubakaji na ulawiti waliotumwa na afande wakamatwa

    Tarehe 8 jamani daah sijui itakuwaje,mambo mengine ni kutaka tu kututoa kwenye njia
  12. S

    Fun Fact: Tanzania ndiyo nchi pekee ya Afrika inayomwaga maji yake kwenye bahari tatu

    Ni kutafuta tu namna ya kuyazuia hayo maji kwenda huko na tufungue viwanda vya maji tuwauzie kwenye vidumu,ndoo na mapipa.ubaya ubwela
  13. S

    Makonda tafadhali wana Arusha tunaomba mshawishi Mwamposa atuletee mkesha mkubwa na sisi na majirani zetu

    Pole na majukumu ya kikazi mkuu wetu wa mkoa na hongera kwa kuendelea kuipigania Arusha. Ninaiomba tumia ushawishi wako baada ya mimi kuhushudia mkesha mkubwa ulofana sana kule Dar ninaomba mkesha ule uje na hapa kwetu Arusha kwani mkoa huu unahitaji sana upako wa namna ile. Kuna roho...
  14. S

    Huu umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!

    Mkesha umefana sana,maneno ya mkuu wa mkoa yalikuwa na roho wa Mungu ndani yake,kama chizi atoki kwenye familia yako unaweza ukacheka hata nyie mnaoponda ni kwa vile tu mmevimbwira na shibe na kiburi cha uzima walokuwa pale ni watu ambao hawana mlivyo navyo wengi wao wametumia kila mbinu...
  15. S

    Yusuphu Manji Kuzikwa Leo Saa Tisa Frorida Marekani

    Mi sio muhenga mzee wangu sizungumzii siku wagombania uhuru wanaitumia yanga kama eneo la kupanga mipangoyao lakini wa.eusahau mchango wa yanga kwao hadi Leo wamewaacha kule mabondeni namzungumzia mtu wa soka sir manji nilimuona akiitoa yanga kutoka sehemu moja kuisogeza sehemu,sibwabwaji mama angu
Back
Top Bottom