Salaaam waungwana
Msaada Tafadhari[emoji120][emoji120][emoji120];Nina tatizo kwenye ngozi ya mwili wangu,badhi ya maeneo yamepoteza rangi yake yamekuwq na rangi mpaka nywele nazo zimekua kama zimewekwa breach.Kuna daktari wa ngozi nilienda kumuona aliniambiq ni shida ya cell zinazosaidia...
hi guys, sorry i have these questions i real need your help to answer them or just give me an idea.i just want to know will i be able too get sponsorship for abroad studies,where should i go? which sites may i get information? and if possible some one may tell me what steps which need to be...
Nawachukia tena sanaaaaaa watu wanaoomba kuvunjika kwa amani ya nchi kwa upuuuzi wa kisiasa hata sio akili ya kawaidani mtu wz kuogopwa ww sio mtu mzuri hata kidogo
Nafikiri update uzi eako kuhusu wabunge machachari wa upinzani zito ,mdee na uongelee pia sehemu mbunge machachari ester bulaya alipomnyang'anya mbunge wa sisiemu kweli mkuki kwa nguluwe
Uhuni wa huu mziki pia ulitengenezwa na watu waliokuwa hawaupendi kama ww hvyoo lkn ukiulizwa uhini wake nn unaweza usijue cha kujibu #kidaganda ,#shardcole
Na kujua utajiri wa hao watu rudi pia darasani kasome utajiri wa mtu kama fifty mnayemuita mwana hatakati kaupata kwa muziki au ujasiriamali utajiri wa hip hop legendary dr dree anaupata wapi ujasiriamali ni moja ya nguzo za hii kitu na imeongezwa baada ya kuonekana hawa wasanii wanaofanya huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.