Recent content by Satisfier

  1. Satisfier

    Kumpenda mtoto wake tu, hatimae akanipa

    Huyo aliona "Yes"!!...wacha niongeze janaume lingine maana linampenda kweli mtoto wa mwenzie, wacha wasaidiane matumizi. Anyway, point yangu ni kwamba mkuu hapo wewe ndio unaliwa, na utajikuta unasomesha huyo mtoto...akimaliza masomo mshahara wa kwanza atapeleka kwa baba yake mzazi kwa...
  2. Satisfier

    Naomba msaada wa tatizo la mwili kupigwa shoti

    Naomba uhame Kinyerezi tafadhari.
  3. Satisfier

    Naomba msaada wa tatizo la mwili kupigwa shoti

    Mkuu wala usiwaze, hizo ni nyege tu...plz nitafute.
  4. Satisfier

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Sawa mkuu. Ila waambie Mods wasipende kuunganisha nyuzi.
  5. Satisfier

    Nimewaandikia historia ya Faru John: Wanawake walimponza, mchepuko 1 akamtega pale Gurumet afumaniwe

    Faru John alizaliwa Mwaka 1990 kwenye bonde la Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro. Ilikuwa ni jioni yenye wingu na manyunyu, mama mzazi alikuwa akilia kwa uchungu hadi pale alipofanikiwa kumzaa Faru John kwenye mazingira hatarishi yasio na Huduma muhimu kutoka kwenye Mamlaka ya Hifadhi ya...
  6. Satisfier

    Kweli Max Ndiye Yeye: Kwanini Sina Hofu

    wewe utakuwa ni moja kati ya watoto wanaofaidika na mfumo uliopo. Unaanzia wapi kusema serikali inatishwa ukizingatia hoja Mwanakijiji aliyoitoa??
  7. Satisfier

    Sasa rasmi: Yusuf Manji atimuliwa Quality Plaza, apewa saa 24

    Alipangishwa halafu akajichagulia jina (kipengele No. 7 ii.
  8. Satisfier

    Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

    Dah mkuu asante kwa kuniwakilisha vyema. Ila nimecheka sana.. you are my true brother. cc ......(anajijua). Mrejesho wiki ijayo. Watu wanaidharau JF upande wa mahusiano. Hawajui (in Fid Q's track voice: August 13)
  9. Satisfier

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    Ziishe kabisa na ulegee.
  10. Satisfier

    Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

    Penigne dada yangu alikuwa amebanwa kidogo. Don't mind.
  11. Satisfier

    Mazee... Demu wangu kanifurahisha kinyama!!

    Kuna ukweli ndani yake, tatizo umuelezea kihuni, sasa sisi wasomi ni mgumu kukuelewa.
  12. Satisfier

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    ...I can only reply a message, I can't pm directly first. So just take it easy, and talk to me.
  13. Satisfier

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    I'm really sorry. But hadi kukwambia ujue nimeshajaribu, naambiwa Error. though nimeshawacontact Support. Don't mind
Back
Top Bottom