Recent content by Satan

  1. Satan

    Ni content creator gani Tanzania anafanya vizuri sana lakini bado watu hawajamzingatia?

    Shida ya Wamalawi wanakushangilia kipindi upo mtaani, watasema mengi sana ya kukupamba. Ila ukiingizwa korokoloni, hakuna hata mmoja anayesogea kusaidia
  2. Satan

    Je, inaruhusiwa kukutana kimwili na wake zako wote kwa wakati mmoja katika kitanda kimoja?

    Hakuna aliyeruhusu, pia hakuna aliyekataza. Ila tendo linafanywa na watu wawili kwa nyakati moja. Ngono ni ibada.
  3. Satan

    PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Jaji alisema waandamanaji walikuwa na silaha. Waliokufa ni wale waliokutwa na matundu yaliosababishwa na kitu chenye ncha kali na walikufa kwa kutokwa na damu nyingi. Kwahiyo itakiwa waandamanaji waliuanawenyewe kwa wenyewe. Yawezekana kwenye yale maandamano kuna vitu vingi tusivyovijua...
  4. Satan

    Ni aibu kwa taifa Profesa Kabudi kutoa majibu ya ovyo namna hii mbele ya mwandishi wa BBC

    Nilimsikia aisee... Roho iliniuma sana. Halafu alikuwa akijibu wakati mwandishi anauliza.
  5. Satan

    Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Baadae unawaambia wanao kuwa walipatikana kwasababu ya kumkomesha mama yao mkubwa na mchepuko wake...
  6. Satan

    Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    Hao waliowalipa hao wafanya vurugu ni akina nani?
  7. Satan

    PostGE2025 Ripoti ya Jaji Chande: Maswali Mazito Baada ya Uchaguzi

    Ripoti ina mapungufu mengi kana mwamba mtu alikaa zake ndani akaandika na kuja kuiwasilisha. Jaji ametukosea sana. Halafu anasema kuna watu walioshawishi lakini kashi dwa kuwataja. Arejeshe pesa zetu asee Halafu walikaa muda mrefu na ripoti inakuja ile... Yaani mambo mengi yanashangaza kweli.
  8. Satan

    PostGE2025 Ripoti ya Jaji Chande: Maswali Mazito Baada ya Uchaguzi

    Alisema kuna kijana wa Arusha(16) aliahidiwa atapewa milioni 5 ili afanye vurugu.... Kiukweli ile ripoti ni nyepesi sana.. halafu vitu vya msingi havijaripotiwa na sababu alizotoa hazikuwa na mashiko
  9. Satan

    Ili wapike matapishi yale ilikuwa lazima waende gizani, wazuie taarifa za live wakati wa mchakato

    Kwamba alipewa ushahidi wa walioandamana ila hakutaka kuwataja waliowapa hela wale walioandamana. Sasa hii tume ilikuwa inachunguza nini?
  10. Satan

    Kuna muda nahisi watoto wangu hawaijui hali halisi ya maisha naogopa wakija kuyajua ukubwani bila uangalizi watajifunza kwa maumivu na aibu

    Sehemu niliyokulia ilikuwa na mitaa miwili 1. Ya kishua na 2. Kawaida iliyo na watu wenye maisha ya wastani na chini . Tulikuwa tukikutana jioni, kwenye michezo. Wanaume tukicheza mpira na wa kike wakicheza rede.. wakati fulani tulikaribishana majumba mwetu, tukiangalia runinga na kucheza...
  11. Satan

    Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

    Ukiangalia kalenda na masaa, tumewazidi wamarekani na baadhi ya wazungu wa Maghalibi. Yaani sisi tupo mbele ya wakati. Ila kimaisha tupo nyuma yao miaka zaidi ya 30... Kuna namna ya kurekebisha hizi kalenda
  12. Satan

    Ndoa naigopa sana!

    Uzuri au ubaya wa ndoa unategemea wewe umeamua kuona nini. Ukiiset akili yako ione mabaya, utakuwa ukishuudia tu nyakati za ugomvi tu. Na vinginevyo. Kwenye ndoa hakuna raha inayodumu pia vivyo hivyo kwenye karaha. Sasa wewe akili yako umeiseti ione karaha tu. Ili ndoa idumu mmoja wenu lazima...
  13. Satan

    Kukata tiketi za SGR kumerahisishwa zaidi

    Ila hii nchi: Unaweza kikuta siti zimejaa kumbe kuna wadau wanashikiwa siti.
Back
Top Bottom