Shida ya Wamalawi wanakushangilia kipindi upo mtaani, watasema mengi sana ya kukupamba. Ila ukiingizwa korokoloni, hakuna hata mmoja anayesogea kusaidia
Jaji alisema waandamanaji walikuwa na silaha. Waliokufa ni wale waliokutwa na matundu yaliosababishwa na kitu chenye ncha kali na walikufa kwa kutokwa na damu nyingi.
Kwahiyo itakiwa waandamanaji waliuanawenyewe kwa wenyewe.
Yawezekana kwenye yale maandamano kuna vitu vingi tusivyovijua...
Ripoti ina mapungufu mengi kana mwamba mtu alikaa zake ndani akaandika na kuja kuiwasilisha. Jaji ametukosea sana. Halafu anasema kuna watu walioshawishi lakini kashi dwa kuwataja.
Arejeshe pesa zetu asee
Halafu walikaa muda mrefu na ripoti inakuja ile... Yaani mambo mengi yanashangaza kweli.
Alisema kuna kijana wa Arusha(16) aliahidiwa atapewa milioni 5 ili afanye vurugu....
Kiukweli ile ripoti ni nyepesi sana.. halafu vitu vya msingi havijaripotiwa na sababu alizotoa hazikuwa na mashiko
Sehemu niliyokulia ilikuwa na mitaa miwili 1. Ya kishua na 2. Kawaida iliyo na watu wenye maisha ya wastani na chini .
Tulikuwa tukikutana jioni, kwenye michezo. Wanaume tukicheza mpira na wa kike wakicheza rede.. wakati fulani tulikaribishana majumba mwetu, tukiangalia runinga na kucheza...
Ukiangalia kalenda na masaa, tumewazidi wamarekani na baadhi ya wazungu wa Maghalibi. Yaani sisi tupo mbele ya wakati.
Ila kimaisha tupo nyuma yao miaka zaidi ya 30... Kuna namna ya kurekebisha hizi kalenda
Uzuri au ubaya wa ndoa unategemea wewe umeamua kuona nini. Ukiiset akili yako ione mabaya, utakuwa ukishuudia tu nyakati za ugomvi tu. Na vinginevyo.
Kwenye ndoa hakuna raha inayodumu pia vivyo hivyo kwenye karaha.
Sasa wewe akili yako umeiseti ione karaha tu.
Ili ndoa idumu mmoja wenu lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.