Ukija kuishiwa, watajiunga. Tukio utakalopigwa, halitakuwa limewahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia.
Usipende kusikiliza ushauri wa mwanamke ili kujihusisha na mahusiano kwa wanawake wengine.
Once weak, always weak. Ni suala la muda. Tupo pale.
Wachezaji wakipataga mapunziko tu kidogo fitness yao lazima ishuke sana hasa hawa wa timu za madaraja ya kati.
Wasingepata likizo huenda ubora wao ungekuwepo.
Hata hivyo kila match ina mipango yake. Waobsio wa Kwanza kufungwa
Muhalifu ni nani?
Ni mtu yoyote aliyechunguzwa na kukutwa na hatia.
Hata wewe una matukio mengi tu, ni vile hujachuguzwa na kukutwa na hatia.
Kama una ushahidi mpeleke mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.