Recent content by Satan

  1. Satan

    JamiiForums Tanzania Ushauri Kwa timu yangu Yanga baada ya kipigo kutoka Dodoma Jiji

    Yule kocha wenu ni tapeli tu. Kama alishindwa Azam, timu isiyokuwa na presha na KMC itaiweza Yanga? Ni mzuri akiwa msaidizi na si vinginevyo. Mwamnyeto sio kwamba ana siku mbaya kazini, kile ndo kiwango chake... Ushindi na matokeo ya timu kwa ujumla humfichia madhaifu yake.
  2. Satan

    JamiiForums Tanzania Ligi yetu inaendeshwa Kihuni

    Kama Tanzania lighe yake ipo 5 bora basi ligi zilizochini yake zitakuwa na madudu kupitiliza... Hii ni ishara tosha kuwa Manigga na Warabu wetu tuna safari ndefu sana
  3. Satan

    JamiiForums Tanzania Nimelipia hostel Dar kwa wanaojiita manabii, nimesomewa vifungu na shehe, nimechanjwa sana usukumani, nimefanya online remedies. Yote haya batili

    Matatizo ya mtu huanzia kwa mtu mwenyewe. Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka. Pale hushukapo, wahuni huona fursa ya kutaka kukupandisha kabla ya muda husika wa kupanda hujafika. Tatizo huanzia pale utakapotaka kupanda kabla ya muda. Wahuni wapo wa nyanja tofauti.. Nb. Amelaani mtu yule...
  4. Satan

    JamiiForums Tanzania Tatizo la majeraha ya Mzize kuchelewa ni sababu ya umri

    Hamna uhusiano kati ya matitabu na umri.. Pengine hakupata matibabu sahihi au alipata lakini hakuuandaalizi ya kupona
  5. Satan

    JamiiForums Tanzania Chama ni mtego kwa Simba msimu ujao

    Mkuu mbona umeandika kanakwamba Simba ndo imefika ligi kuu leo? Kama ishu ni kupoteza Ubingwa; hao viongozi walifanya makosa mapema kabla hata ya kuja Chama. Sidhani kama kuna uhusiano kati ya kushangilia goal zuri na kuchukua ubingwa.. Pia mpira ni mchezo wa wazi, Si ligi tu inamtambua...
  6. Satan

    JamiiForums Tanzania Bongo Star Search (BSS) ishawahi kumtoa Star gani hapa Bongo?

    Hao wanaojiita majaji sidhani kama wanaujua huo mziki wenyewe... Hata elimu yao ya mziki ni ya hapa na pale.. Wanaendesha vitu kwa utashi wao binafsi na jinsi watavyompenda muimbaji
  7. Satan

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni rahisi kusema Simba na Yanga kuliko kusema Yanga na Simba?

    Simba ni zao la Yanga... Yaani Simba ni mtoto na Yanga ni baba... Jina linaanza la mtoto na linafata la baba.
  8. Satan

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni rahisi kusema Simba na Yanga kuliko kusema Yanga na Simba?

    Kati ya S na Y inaanza ipi?
  9. Satan

    JamiiForums Tanzania Jinsi punyeto na kujichua sehemu za siri Kunavyokuunganisha na ulimwengu wa kuzimu

    Haya mambo yapogo tu Africa
  10. Satan

    JamiiForums Tanzania Ni content creator gani Tanzania anafanya vizuri sana lakini bado watu hawajamzingatia?

    Shida ya Wamalawi wanakushangilia kipindi upo mtaani, watasema mengi sana ya kukupamba. Ila ukiingizwa korokoloni, hakuna hata mmoja anayesogea kusaidia
  11. Satan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, inaruhusiwa kukutana kimwili na wake zako wote kwa wakati mmoja katika kitanda kimoja?

    Hakuna aliyeruhusu, pia hakuna aliyekataza. Ila tendo linafanywa na watu wawili kwa nyakati moja. Ngono ni ibada.
  12. Satan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, inaruhusiwa kukutana kimwili na wake zako wote kwa wakati mmoja katika kitanda kimoja?

    3some au 5some ni ushetani
  13. Satan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Jaji alisema waandamanaji walikuwa na silaha. Waliokufa ni wale waliokutwa na matundu yaliosababishwa na kitu chenye ncha kali na walikufa kwa kutokwa na damu nyingi. Kwahiyo itakiwa waandamanaji waliuanawenyewe kwa wenyewe. Yawezekana kwenye yale maandamano kuna vitu vingi tusivyovijua...
  14. Satan

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa taifa Profesa Kabudi kutoa majibu ya ovyo namna hii mbele ya mwandishi wa BBC

    Nilimsikia aisee... Roho iliniuma sana. Halafu alikuwa akijibu wakati mwandishi anauliza.
  15. Satan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Baadae unawaambia wanao kuwa walipatikana kwasababu ya kumkomesha mama yao mkubwa na mchepuko wake...
Back
Top Bottom