1. Kungekuwa hamna recycling basi pumbu zingekuwa zinaburst, au zingekuwa zinajaa kama busha.
2. Hao wake na masulia wa mfalme Suleiman, alizaa nao wote au walikuwa kama pambo?
Miaka ya nyuma huwezi kuwa mfalme mwenye nguvu, hekima, busara, uwezo na heshima kama hau'retain your sperms...
Hakuna mwanasiasa atakayekuja kupigania uhuru wa mtu. Hatakuja kutokea kamwe.
Yeye anapambania maslahi yake kwa njia ya kutafuta huruma kwa watu.
Uhuru wa mtu unapiganiwa na mtu mwenyewe. Na siku Watanzania watakapohitaji huo Uhuru (kama haupo) basi hawatahotaji kuhasishwa au kuwa na middle...
Sperm ikikaa sana bila kutumika, kuna namna inatolewa kwenye mfumo wa uzazi na kumeng'enywa. Zile nutrient hurejea kuboresha mbegu mpya.
Tunzeni mbegu zenu. Hizo ndio uanaume. Hizo ndo unafanya uweze kuishi. Hizo ndo chanzo cha uzao wako na kwa wengine.
Kila mtu anapenda hela. Na kila mtu anaisaka vile anavyoona inafaa. Lengo ninkuhakikisha unayo mkononi.
Mtu yoyote atafutaye pesa lazima atafute wakutumia naye. Kama wewe haupo kwenye matumizi ya hiyo pesa ya mwanamke, jotafakari sana, hakikisha unachanga vema karata zako.
Kwanini ufatilie vitu usivyovipenda? Mbona kwenye hii mitandao kuna vitu ambavyo waweza kuchagua kuvifatilia na usivovipenda unaweza kudhani havipo?
Chagua kile unachoona kinafaa, maana kuna vingine ambavyo hujui kama vipo na nivyakuogofya.
Mama lazima ahusike kwakuwa yeye ndio atakayetoa confirmation ya kuwa mtoto amezaliwa naye. Na yeye huwa wa kwanza kuoanisha DNA zake na za mtoto.
Embu fikiri: mkeo kazaa mtoto halali kabisa na wewe. Kwa kunua au kutokujua wale waliomzalisha wanambadilisha huyo kwa mtu mwingine, na mkeo...
Magonjwa ya zinaa hayamcheleweshi mwanaume. Ndani ya masaa kumi na mawili, nyeti zinaanza kureact.
Maginjwa ya zinaa yana majina. Daktari amewaambia ni ugonjwa upi? Syphilis, Gonorrhea au? Au ndo dr. ame'assume kulingana na maelezo ya mgonjwa?
Madaktari wa uchochoroni watakubambikia magonjwa...
Hapa Bongo ili haki ionekane imetendeka basi pacha mmoja au wote wa KKoo lazima watoe sare au kufungwa.
Sema kama hukuangalia mpira wa jana unawezadhani kuwa wakati TRA wakicheza kabumbu, wenzao Simba walikuwa wakicheza Basket... Wakati jana Chobwedo alikuwa hashikiki
Nafikiri ukienda nje ya mipaka ya Dunia yetu hii, yaani nyuma ya safu za barafu za Antarctica, unaweza jitwalia ekari kadhaa na ukaanzisha mji wako. Nafikiri ni kuwahi tu eneo na ukiwa na kikundi cha watu
Niliwahi kusikia kuwa wanaongeza Coca, moja ya ingredient ambayo inatumika kwenye utengenezaji wa cocaine...
Mkuu unahitaji matibabu na si ushauri. Pepsi 4? Yaana anakunywa bia 5 kwa siku ana unafuu kuzidi wewe
Absorption ya DNA inafanyika sana tu. Tena sio hii pekee.
Pia kunakuwa na Energy exchange(trauma).. Soul ties..
Mantiki ya mzazi kuwa mungu wa pili, huanzia hapa.
Zile sifa (traits) ambazo zimehifadhiwa kwenye mwili wa mwanamke kama ni sehemu ya matokeo ya ngono, basi zitaenda kuathiri ukuaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.