Recent content by Satan

  1. Satan

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    1. Kungekuwa hamna recycling basi pumbu zingekuwa zinaburst, au zingekuwa zinajaa kama busha. 2. Hao wake na masulia wa mfalme Suleiman, alizaa nao wote au walikuwa kama pambo? Miaka ya nyuma huwezi kuwa mfalme mwenye nguvu, hekima, busara, uwezo na heshima kama hau'retain your sperms...
  2. Satan

    Full TIME | Tanzania 0-1 Liechtenstein | International Friendly | Kigali Pelé Stadium

    Haya yote kasababisha Okelo... Angepata ile penati, tusingesogea kwenda 16 bora, na makelel ya kusema tuna timu bora yasingekuwepo
  3. Satan

    Tundu Lissu ni kama Nyerere, wakati anapigania uhuru watanzania wengi walikuwa wajinga hata alipotetea demokrasia asilimia 20 walimwelewa Nyerere

    Hakuna mwanasiasa atakayekuja kupigania uhuru wa mtu. Hatakuja kutokea kamwe. Yeye anapambania maslahi yake kwa njia ya kutafuta huruma kwa watu. Uhuru wa mtu unapiganiwa na mtu mwenyewe. Na siku Watanzania watakapohitaji huo Uhuru (kama haupo) basi hawatahotaji kuhasishwa au kuwa na middle...
  4. Satan

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    But the skin doesn't care. Ukute vipodozi vimemgomea, huwa wanatia kinyaa.
  5. Satan

    Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

    Sperm ikikaa sana bila kutumika, kuna namna inatolewa kwenye mfumo wa uzazi na kumeng'enywa. Zile nutrient hurejea kuboresha mbegu mpya. Tunzeni mbegu zenu. Hizo ndio uanaume. Hizo ndo unafanya uweze kuishi. Hizo ndo chanzo cha uzao wako na kwa wengine.
  6. Satan

    Kwa sasa kupenda kunazingua sana?

    Kila mtu anapenda hela. Na kila mtu anaisaka vile anavyoona inafaa. Lengo ninkuhakikisha unayo mkononi. Mtu yoyote atafutaye pesa lazima atafute wakutumia naye. Kama wewe haupo kwenye matumizi ya hiyo pesa ya mwanamke, jotafakari sana, hakikisha unachanga vema karata zako.
  7. Satan

    Kuna Maudhui Mengine kwenye Social Media yanapaswa kuzuiwa Tanzania

    Kwanini ufatilie vitu usivyovipenda? Mbona kwenye hii mitandao kuna vitu ambavyo waweza kuchagua kuvifatilia na usivovipenda unaweza kudhani havipo? Chagua kile unachoona kinafaa, maana kuna vingine ambavyo hujui kama vipo na nivyakuogofya.
  8. Satan

    Kuhusu DNA kupitia Ustawi wa Jamii

    Mama lazima ahusike kwakuwa yeye ndio atakayetoa confirmation ya kuwa mtoto amezaliwa naye. Na yeye huwa wa kwanza kuoanisha DNA zake na za mtoto. Embu fikiri: mkeo kazaa mtoto halali kabisa na wewe. Kwa kunua au kutokujua wale waliomzalisha wanambadilisha huyo kwa mtu mwingine, na mkeo...
  9. Satan

    Mke anataka kutimkia kwao akidai nimemwambukiza zinaa. Sijawahi kuugua ugonjwa huo tangia nizaliwe

    Magonjwa ya zinaa hayamcheleweshi mwanaume. Ndani ya masaa kumi na mawili, nyeti zinaanza kureact. Maginjwa ya zinaa yana majina. Daktari amewaambia ni ugonjwa upi? Syphilis, Gonorrhea au? Au ndo dr. ame'assume kulingana na maelezo ya mgonjwa? Madaktari wa uchochoroni watakubambikia magonjwa...
  10. Satan

    Timu ya TRA inanuka Simba, haifai kuhamasisha ulipaji kodi

    Hapa Bongo ili haki ionekane imetendeka basi pacha mmoja au wote wa KKoo lazima watoe sare au kufungwa. Sema kama hukuangalia mpira wa jana unawezadhani kuwa wakati TRA wakicheza kabumbu, wenzao Simba walikuwa wakicheza Basket... Wakati jana Chobwedo alikuwa hashikiki
  11. Satan

    Ni utaratibu gani wa kufuata ili kuanzisha nchi?

    Nafikiri ukienda nje ya mipaka ya Dunia yetu hii, yaani nyuma ya safu za barafu za Antarctica, unaweza jitwalia ekari kadhaa na ukaanzisha mji wako. Nafikiri ni kuwahi tu eneo na ukiwa na kikundi cha watu
  12. Satan

    Jinsi ya kufanya time travel, kwenda nyuma ya muda

    Sijui ni lini Watanzania mtakuwa serious na haya maisha...
  13. Satan

    KERO Responded Msaada: Nimefikia hatua ya kunywa Pepsi 4 kwa siku, nifanyeje kuacha?

    Niliwahi kusikia kuwa wanaongeza Coca, moja ya ingredient ambayo inatumika kwenye utengenezaji wa cocaine... Mkuu unahitaji matibabu na si ushauri. Pepsi 4? Yaana anakunywa bia 5 kwa siku ana unafuu kuzidi wewe
  14. Satan

    Je, Mwanamke Hubeba DNA za Wanaume Wote Aliowahi Kulala Nao? Mtazamo wangu ni huu

    Absorption ya DNA inafanyika sana tu. Tena sio hii pekee. Pia kunakuwa na Energy exchange(trauma).. Soul ties.. Mantiki ya mzazi kuwa mungu wa pili, huanzia hapa. Zile sifa (traits) ambazo zimehifadhiwa kwenye mwili wa mwanamke kama ni sehemu ya matokeo ya ngono, basi zitaenda kuathiri ukuaji...
  15. Satan

    Tukio la Kipa wa Yanga, Diarra kuwaonesha Wanahabari kidole cha kati , imenikumbusha Chuji alivyofanya hivyo akafungiwa

    Yanga haiwezi kufanya lolote. Huyo ndo mchezaji aliyebaki wanajivunia. Wakimgusa tu, watapoteana
Back
Top Bottom