Yule kocha wenu ni tapeli tu. Kama alishindwa Azam, timu isiyokuwa na presha na KMC itaiweza Yanga?
Ni mzuri akiwa msaidizi na si vinginevyo.
Mwamnyeto sio kwamba ana siku mbaya kazini, kile ndo kiwango chake... Ushindi na matokeo ya timu kwa ujumla humfichia madhaifu yake.
Kama Tanzania lighe yake ipo 5 bora basi ligi zilizochini yake zitakuwa na madudu kupitiliza... Hii ni ishara tosha kuwa Manigga na Warabu wetu tuna safari ndefu sana
Matatizo ya mtu huanzia kwa mtu mwenyewe.
Kwenye maisha kuna kupanda na kushuka. Pale hushukapo, wahuni huona fursa ya kutaka kukupandisha kabla ya muda husika wa kupanda hujafika.
Tatizo huanzia pale utakapotaka kupanda kabla ya muda.
Wahuni wapo wa nyanja tofauti..
Nb. Amelaani mtu yule...
Mkuu mbona umeandika kanakwamba Simba ndo imefika ligi kuu leo?
Kama ishu ni kupoteza Ubingwa; hao viongozi walifanya makosa mapema kabla hata ya kuja Chama.
Sidhani kama kuna uhusiano kati ya kushangilia goal zuri na kuchukua ubingwa..
Pia mpira ni mchezo wa wazi, Si ligi tu inamtambua...
Hao wanaojiita majaji sidhani kama wanaujua huo mziki wenyewe... Hata elimu yao ya mziki ni ya hapa na pale.. Wanaendesha vitu kwa utashi wao binafsi na jinsi watavyompenda muimbaji
Shida ya Wamalawi wanakushangilia kipindi upo mtaani, watasema mengi sana ya kukupamba. Ila ukiingizwa korokoloni, hakuna hata mmoja anayesogea kusaidia
Jaji alisema waandamanaji walikuwa na silaha. Waliokufa ni wale waliokutwa na matundu yaliosababishwa na kitu chenye ncha kali na walikufa kwa kutokwa na damu nyingi.
Kwahiyo itakiwa waandamanaji waliuanawenyewe kwa wenyewe.
Yawezekana kwenye yale maandamano kuna vitu vingi tusivyovijua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.