Recent content by Satan

  1. Satan

    JamiiForums Tanzania Msanii Mr. II aka Sugu akataa "posho" ya TSh. 2m kutumbuiza kwenye tamasha la miaka 30 ya Bongo Flava

    Umri una uhusiano gani?
  2. Satan

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Ile pumzi ya uhai, ndio Mungu mwenyewe. Ukuu wake ni wa juu sana mpaka akaamua kutumia mwili wa binadamu ukawa kama makazi yake (hekalu)... Hewa unayovuta ni Mungu pia katika fomu nyingine... Ukiutazama huu ulimwingu katika jicho la udadisi, unamuona Mungu mubashara kabisa.. Distractions...
  3. Satan

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Kila kitu ni makazi ya Mungu... Mungu yu ndani mwetu na sisi tu ndani mwake. Air, we breath's another form of God's appearance. Na vingine.
  4. Satan

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Alikopa Pesa nyingi akiwa hanywi, ikapotea. Sasa anakunywa lakini hajasema kama hicho kidogo kilichobaki kinamalizwa na pombe. Huyu shida yake sio pombe. Bali ni kutojipanga vema.. Mkopo si hela ya kuanzishia biashara, ni ya kutanulia biashara.
  5. Satan

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    Shida ni mtu kati... Kuna wale wazee wa cha juu. Ukiingia kichwa kichwa wanaruka na wewe hata kabla harakati zako hazijamfikia aliye juu... Pasco ana ushuhuda kamili
  6. Satan

    JamiiForums Tanzania List ya wasanii wakali wa Muziki wa Muda wote Afrika

  7. Satan

    JamiiForums Tanzania Tunaweza kuwa tunazilaumu Kamati za Usajili bure kumbe Wachezaji 'Top Class' Afrika hii ni Adimu sana au Wameisha

    Kila kitu kizuri kinapatikana. Ukiwa bahiri utawaona wa bei yako
  8. Satan

    JamiiForums Tanzania Msanii Mr. II aka Sugu akataa "posho" ya TSh. 2m kutumbuiza kwenye tamasha la miaka 30 ya Bongo Flava

    Kumbe kurap sio kuimba, sasa huwa anafanyeje?
  9. Satan

    JamiiForums Tanzania Msanii Mr. II aka Sugu akataa "posho" ya TSh. 2m kutumbuiza kwenye tamasha la miaka 30 ya Bongo Flava

    Mimi binafsi sijawahi kuona kipaji kwa huyu Mhe... Naonaga kama anafosi sana mambo.. anaimba kawaida sana.
  10. Satan

    JamiiForums Tanzania List ya wasanii wakali wa Muziki wa Muda wote Afrika

    1. Miriam Makeba 2. Angelique Kidjo 3. Salif Keita 4. Yondo Sister 5. Nasma Kidogo 6. Judith Wambura 7. Oliver N'goma 8. Pepe Kale 9. Papa Wemba 10. Werrason 11. Albert Mangwea
  11. Satan

    JamiiForums Tanzania Ukikuta Mwanao wa kike Darasa la 6 anaangalia Ngono, unapaswa kufanyaje kumsaidia?

    Unaweza kuozesha mwanao wa miaka 9?
  12. Satan

    JamiiForums Tanzania Ukikuta Mwanao wa kike Darasa la 6 anaangalia Ngono, unapaswa kufanyaje kumsaidia?

    Kujenga urafiki na mwanao akiwa below 16 ni chanzo cha kumuharibu. Umri mzazi unatakiwa uwe mkali na mtoto akuogope, aogope kufanya yasiyofaa kwa kukuhofia ili asogee sogee. Akifikisha 16 ndo unajenga urafiki nae kwa kuzu gumza yale yanayofaa... Hii mbinu iliwaokoa sana Millenials kushuka chini..
  13. Satan

    JamiiForums Tanzania Nyama choma ipi Nzuri Tanzania ,Kwa mromboo Arusha Vs Msalato Dodoma?

    Kwo mkuu, tusile nyama na tumeze mate? 😃
  14. Satan

    JamiiForums Tanzania Dunia inazidi kuwabadilisha waislamu mambo mengi sana sasa washagundua mbwa sio haramu kwao kama mfugo

    Kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo mwanadamu anagundua mafundisho aliyokaririshwa ni utapeli na ubatili mtupu... Wahuni na wajanja wajanja wanazidi kuumbuka
  15. Satan

    JamiiForums Tanzania Heri ununue kwa Mswahili anaekupiga faida mara 3 na kujitetea pesa inabaki nchini au ununue kwa Mchina kwa bei rafiki huku akituma pesa kwao?

    Huruma sio malezi.. halafu huyo anayekupiga faida mara 3 anatumia hiyo faida kuagiza gari japan... Maana hamna Mswahili atayeshika vihela vingi akakomaa kununua bidhaa za waswahili wenzie. Bila shaka hukufikiri kuhusu hili... Kila mtu ashinde mechi zake
Back
Top Bottom