Wakati Simba wanatoa hayo malalamiko, Duchu hakuwa regular starter na Jabaar alikuwa haijulikani kama atakuja Simba.
Hakikisha andiko lako lisiwe la kusadikika
Mkuu, kama unaweza kusapoti, sapoti. Kuna muda unaweza kupata changamoto ya dharura na ukamtafuta mtu ambaye unajua kabisa anaweza kukusaidia na pengine hukuwahi kuwasiliana nae kwa miaka 10
Inategemeana... Kuna watu waaminifu na wana mwenza mmoja, ila huo msoto!
Wapo wengine wana madaraka makubwa na wazinzi hatari lakini maisha yanawaendea tu fresh na hawatumii ndagu
Ile pumzi ya uhai, ndio Mungu mwenyewe. Ukuu wake ni wa juu sana mpaka akaamua kutumia mwili wa binadamu ukawa kama makazi yake (hekalu)...
Hewa unayovuta ni Mungu pia katika fomu nyingine...
Ukiutazama huu ulimwingu katika jicho la udadisi, unamuona Mungu mubashara kabisa..
Distractions...
Alikopa Pesa nyingi akiwa hanywi, ikapotea. Sasa anakunywa lakini hajasema kama hicho kidogo kilichobaki kinamalizwa na pombe.
Huyu shida yake sio pombe. Bali ni kutojipanga vema.. Mkopo si hela ya kuanzishia biashara, ni ya kutanulia biashara.
Shida ni mtu kati... Kuna wale wazee wa cha juu. Ukiingia kichwa kichwa wanaruka na wewe hata kabla harakati zako hazijamfikia aliye juu...
Pasco ana ushuhuda kamili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.