Recent content by Satan

  1. Satan

    JamiiForums Tanzania Lissu ni kama Mandela. Watu wa hivi hawaamini katika Mali bali katika kile wanachokipigania

    Wanasiasa wa Kiafrica wapo kwaajili ya matumbo yao... Wana njia nyingi sana ila madaraka ni kwajili ya kunufaisha wao na familia zao binafsi.
  2. Satan

    JamiiForums Tanzania Nimetuma takriban sekunde 10 kwenye tendo

    Kwa huo muda ni kwaajili ya watu wenye ukame wa muda mrefu. Jinsi unavyozidi kuwa mzinzi ndivyo hisia hupungua na kudumu muda mrefu kunaongezeka.....
  3. Satan

    JamiiForums Tanzania Kama sio Football Video Support (FVS) basi wachezaji wawili wa Simba wasingepewa redcard

    Wakati Simba wanatoa hayo malalamiko, Duchu hakuwa regular starter na Jabaar alikuwa haijulikani kama atakuja Simba. Hakikisha andiko lako lisiwe la kusadikika
  4. Satan

    JamiiForums Tanzania Funzo kutoka kwa Madebe na Chanuo

    Kama tatizo ni hilo tu! Basi wanawake wote wangekuwa wameolewa na Elon Musk. Labda kama kuna sababu nyingine ambayo hujataka kuisema
  5. Satan

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    He's right...
  6. Satan

    JamiiForums Tanzania My friend 7 years without 👋 or even hello ,then unaniunga kwa group la harusi

    Mkuu, kama unaweza kusapoti, sapoti. Kuna muda unaweza kupata changamoto ya dharura na ukamtafuta mtu ambaye unajua kabisa anaweza kukusaidia na pengine hukuwahi kuwasiliana nae kwa miaka 10
  7. Satan

    JamiiForums Tanzania Labda niwe muwazi juu yako ShesRise_1

    Hapo mtoto anaangalia chini, anang'ata kucha huku akiona haya... Aseme nini zaidi
  8. Satan

    JamiiForums Tanzania Kama Unafanya Uzinzi Sahau Kufanikiwa Maisha (Labda kwa Kutumia Waganga au Utapeli)

    Inategemeana... Kuna watu waaminifu na wana mwenza mmoja, ila huo msoto! Wapo wengine wana madaraka makubwa na wazinzi hatari lakini maisha yanawaendea tu fresh na hawatumii ndagu
  9. Satan

    JamiiForums Tanzania Hii ya Selemani Mwalimu kwenda Yanga Ahmed Ally akamatwe, kadanganya umma

    Kosa la Ahmed Ally liko wapi hapo?
  10. Satan

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Ile pumzi ya uhai, ndio Mungu mwenyewe. Ukuu wake ni wa juu sana mpaka akaamua kutumia mwili wa binadamu ukawa kama makazi yake (hekalu)... Hewa unayovuta ni Mungu pia katika fomu nyingine... Ukiutazama huu ulimwingu katika jicho la udadisi, unamuona Mungu mubashara kabisa.. Distractions...
  11. Satan

    JamiiForums Tanzania Mungu ni Omnipresent, yuko ndani yako! Hivyo Nguvu zake za Kufanya Kila Kitu Unazo. Jifunze Jinsi ya Kuziamsha na Kuzitumia…

    Kila kitu ni makazi ya Mungu... Mungu yu ndani mwetu na sisi tu ndani mwake. Air, we breath's another form of God's appearance. Na vingine.
  12. Satan

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Alikopa Pesa nyingi akiwa hanywi, ikapotea. Sasa anakunywa lakini hajasema kama hicho kidogo kilichobaki kinamalizwa na pombe. Huyu shida yake sio pombe. Bali ni kutojipanga vema.. Mkopo si hela ya kuanzishia biashara, ni ya kutanulia biashara.
  13. Satan

    JamiiForums Tanzania Dr. Nchimbi kaniacha kinywa wazi

    Shida ni mtu kati... Kuna wale wazee wa cha juu. Ukiingia kichwa kichwa wanaruka na wewe hata kabla harakati zako hazijamfikia aliye juu... Pasco ana ushuhuda kamili
Back
Top Bottom