Ile pumzi ya uhai, ndio Mungu mwenyewe. Ukuu wake ni wa juu sana mpaka akaamua kutumia mwili wa binadamu ukawa kama makazi yake (hekalu)...
Hewa unayovuta ni Mungu pia katika fomu nyingine...
Ukiutazama huu ulimwingu katika jicho la udadisi, unamuona Mungu mubashara kabisa..
Distractions...
Alikopa Pesa nyingi akiwa hanywi, ikapotea. Sasa anakunywa lakini hajasema kama hicho kidogo kilichobaki kinamalizwa na pombe.
Huyu shida yake sio pombe. Bali ni kutojipanga vema.. Mkopo si hela ya kuanzishia biashara, ni ya kutanulia biashara.
Shida ni mtu kati... Kuna wale wazee wa cha juu. Ukiingia kichwa kichwa wanaruka na wewe hata kabla harakati zako hazijamfikia aliye juu...
Pasco ana ushuhuda kamili
Kujenga urafiki na mwanao akiwa below 16 ni chanzo cha kumuharibu. Umri mzazi unatakiwa uwe mkali na mtoto akuogope, aogope kufanya yasiyofaa kwa kukuhofia ili asogee sogee. Akifikisha 16 ndo unajenga urafiki nae kwa kuzu gumza yale yanayofaa...
Hii mbinu iliwaokoa sana Millenials kushuka chini..
Kadiri siku zinavyozidi kwenda ndivyo mwanadamu anagundua mafundisho aliyokaririshwa ni utapeli na ubatili mtupu...
Wahuni na wajanja wajanja wanazidi kuumbuka
Huruma sio malezi.. halafu huyo anayekupiga faida mara 3 anatumia hiyo faida kuagiza gari japan... Maana hamna Mswahili atayeshika vihela vingi akakomaa kununua bidhaa za waswahili wenzie.
Bila shaka hukufikiri kuhusu hili...
Kila mtu ashinde mechi zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.