Recent content by Satan

  1. Satan

    Kuwa na wanawake zaidi ya mmoja ni baraka na heri , wapuuzeni wanafiki

    Ukija kuishiwa, watajiunga. Tukio utakalopigwa, halitakuwa limewahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia. Usipende kusikiliza ushauri wa mwanamke ili kujihusisha na mahusiano kwa wanawake wengine. Once weak, always weak. Ni suala la muda. Tupo pale.
  2. Satan

    Ungefanyaje?

    Mgane na Mjane... Hii combi sio poa
  3. Satan

    Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

    Kwenye hayo mahusiano unahitaji nini? What you resist, persist... Unakuja kufa vibaya we jamaa.
  4. Satan

    Wanaume, hii ndio namna ya kusonga mbele kiume

    Mimi nikionaga bendera nyekundu nachapa lapa. Kwenye ngumi huwa sisubiri nipigwe mpaka nife. Nayeya chapu. Kama kulia, nitalilia mbele ya safari.
  5. Satan

    Jitahidi usifike miaka 30 bila kuoa au kuolewa

    Waonyeshe wadau hao waolewaji walipo.
  6. Satan

    Profesa Janabi: Bei ya sukari imepanda juu, take advantage

    Kumbe sukari iliyoko kwenye fanta ni ya Mtibwa?
  7. Satan

    Tabora United ndio hii iliyocheza na Yanga mpira wa nguvu na akili nyingi pale Dodoma ama ni wengine hawa?

    Wachezaji wakipataga mapunziko tu kidogo fitness yao lazima ishuke sana hasa hawa wa timu za madaraja ya kati. Wasingepata likizo huenda ubora wao ungekuwepo. Hata hivyo kila match ina mipango yake. Waobsio wa Kwanza kufungwa
  8. Satan

    After sex, what's next? May be it can help to someone out there

    Football ina lugha zake. Linapokuja suala la mapenzi, lugha huwa tofauti ila wote tunaelewa kwa usawa.
  9. Satan

    Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mtu🤔

    Jiepushe na mishangazi. Madhara yake hutayaona leo.
  10. Satan

    Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

    Mjini kuna mambo mengi. Ni ngumu kumtenganisha mwenye shida za kweli na tapeli. Nisiseme sana.
  11. Satan

    Leo nimejisikia vibaya sana wakuu!

    Tuangazie upande mwingine. Kuna wengine walikuwa nazo na wakawatendea wengine yasiyo mema na kupoteza kila kitu. Sasa wanahangaika.
  12. Satan

    JE SIMBA SC WANAJUA KWAMBA MCHEZAJI BABACAR SARR NI MTUHUMIWA WA UBAKAJI ALIYEKIMBIA ULAYA BAADA YA KUSHTAKIWA..??

    Muhalifu ni nani? Ni mtu yoyote aliyechunguzwa na kukutwa na hatia. Hata wewe una matukio mengi tu, ni vile hujachuguzwa na kukutwa na hatia. Kama una ushahidi mpeleke mahakamani
  13. Satan

    Chakula kwa siku Tsh 30,000

    Kuna jamaa alisema kuwa itatupasa kuhamia nchi jirani. Juu kushoto ya chini(Burundi)
Back
Top Bottom