Wanajamvi,
Leo nataka niwajadili viongozi wawili shupavu,wenye muono wasio na masikhara katika utendaji kazi wao!!
Kwanza ni mh. Edward Lowasa,mbunge wa Monduli na aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Mzee huyu pamoja na kuhusishwa na scandle ya Richmond,bado anaonekana ndani ya CCM huyu...