JAMALDIN HAJI
Senior Member
- Feb 26, 2013
- 187
- 9
Zito hanakashfa yoyote yu swafi kabisa.raisi ajae 2015 cdm halipingiki.
kila mtu mwenye mapenzi na zito ni ccm mnaudhi sana kama mi mtu akiniitakwani we nani unaetaka kila mtu ndani ya chadema akubaliane na mtu flan mfano mimi natoka huku mbinga mbambabay liuli nikiwa tofauti na mapenzi na mtu flani kinyume na nyie watu wa kina nape basi nianzishe chama chetu waliowatuma waambie ujatukuta haf tabia ya
changia uzi huu kwa maslahi ya chama na si kwa maslahi ya mtu fulani.maana huku mtaani chama kimechafuka na tunatumia nguvu nyingi kukitetea.
Leo nilikuwepo katika kijiwe kimoja hapa Morogoro,hawajamaa ni marufu sana kwa kuichambua siasa ya tanzania.Hoja kubwa ikawa ni umaarufu wa Zitto ambao wengi wanadai kwa sasa unazidi hata umaarufu wa chama,hivyo wadau wengi wakadhauri kua Zitto ni mtaji mkubwa kwa chama endapo wataamua kumtumia ktk uchaguzi mkuu wa 2015 kwa sababu zifuatazo.
1.Kuifuta propaganda ya udini iliyoanza kuenezwa kwa wa tz.
2.Kuifuta propaganda ya ukabila na ukanda inayoenea kwa kasi sana.
3.Zitto anakubalika sana maeneo mengi kutoksna na michango yake bungeni yenye maslahi kwa taifa.
4.Zitto kukosa kashfa zinazo mkabili.mfano wapo wanao shutumiwa kwa kuwa na kadi zaidi ya moja.hii ni ngumu kumuelewesha mwananchi wa kawaida.hivyo kwa zitto haitamkumba.
5.Watanzania sasa hasa vijana wanaimani kubwa na vijana kuliko wazee.hii ni kutokana na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na vijana bungeni.
TUMUUNGE MKONO KIJANA HUYU MCHAPA KAZI ILI ATUSAIDIE KUINGIA IKULU 2015.
Masalia na magamba kazini.Leo nilikuwepo katika kijiwe kimoja hapa Morogoro,hawajamaa ni marufu sana kwa kuichambua siasa ya tanzania.Hoja kubwa ikawa ni umaarufu wa Zitto ambao wengi wanadai kwa sasa unazidi hata umaarufu wa chama,hivyo wadau wengi wakadhauri kua Zitto ni mtaji mkubwa kwa chama endapo wataamua kumtumia ktk uchaguzi mkuu wa 2015 kwa sababu zifuatazo.
1.Kuifuta propaganda ya udini iliyoanza kuenezwa kwa wa tz.
2.Kuifuta propaganda ya ukabila na ukanda inayoenea kwa kasi sana.
3.Zitto anakubalika sana maeneo mengi kutoksna na michango yake bungeni yenye maslahi kwa taifa.
4.Zitto kukosa kashfa zinazo mkabili.mfano wapo wanao shutumiwa kwa kuwa na kadi zaidi ya moja.hii ni ngumu kumuelewesha mwananchi wa kawaida.hivyo kwa zitto haitamkumba.
5.Watanzania sasa hasa vijana wanaimani kubwa na vijana kuliko wazee.hii ni kutokana na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na vijana bungeni.
TUMUUNGE MKONO KIJANA HUYU MCHAPA KAZI ILI ATUSAIDIE KUINGIA IKULU 2015.
mkuu baada ya kuwasikiliza kwa haya yote mkuu we uliwaeleza/kuchangia nini?tunaomba maoni yako
Zitto ni mtu mzima, inabidi ahachane na mambo ya kitoto....Sasa amefika kujiona maarufu kuliko chama. Dont force yourself to remain relevant
Masalia wanazidi kuja kwa rangi tofauti tofauti...
Leo nilikuwepo katika kijiwe kimoja hapa Morogoro,hawajamaa ni marufu sana kwa kuichambua siasa ya Tanzania.Hoja kubwa ikawa ni umaarufu wa Zitto ambao wengi wanadai kwa sasa unazidi hata umaarufu wa chama,hivyo wadau wengi wakadhauri kua Zitto ni mtaji mkubwa kwa chama endapo wataamua kumtumia ktk uchaguzi mkuu wa 2015 kwa sababu zifuatazo.
1.Kuifuta propaganda ya udini iliyoanza kuenezwa kwa wa tz.
2.Kuifuta propaganda ya ukabila na ukanda inayoenea kwa kasi sana.
3.Zitto anakubalika sana maeneo mengi kutoksna na michango yake bungeni yenye maslahi kwa taifa.
4.Zitto kukosa kashfa zinazo mkabili.mfano wapo wanao shutumiwa kwa kuwa na kadi zaidi ya moja.hii ni ngumu kumuelewesha mwananchi wa kawaida.hivyo kwa zitto haitamkumba.
5.Watanzania sasa hasa vijana wanaimani kubwa na vijana kuliko wazee.hii ni kutokana na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na vijana bungeni.
TUMUUNGE MKONO KIJANA HUYU MCHAPA KAZI ILI ATUSAIDIE KUINGIA IKULU 2015.
leo nilikuwepo katika kijiwe kimoja hapa morogoro,hawajamaa ni marufu sana kwa kuichambua siasa ya tanzania.hoja kubwa ikawa ni umaarufu wa zitto ambao wengi wanadai kwa sasa unazidi hata umaarufu wa chama,hivyo wadau wengi wakadhauri kua zitto ni mtaji mkubwa kwa chama endapo wataamua kumtumia ktk uchaguzi mkuu wa 2015 kwa sababu zifuatazo.
1.kuifuta propaganda ya udini iliyoanza kuenezwa kwa wa tz.
2.kuifuta propaganda ya ukabila na ukanda inayoenea kwa kasi sana.
3.zitto anakubalika sana maeneo mengi kutoksna na michango yake bungeni yenye maslahi kwa taifa.
4.zitto kukosa kashfa zinazo mkabili.mfano wapo wanao shutumiwa kwa kuwa na kadi zaidi ya moja.hii ni ngumu kumuelewesha mwananchi wa kawaida.hivyo kwa zitto haitamkumba.
5.watanzania sasa hasa vijana wanaimani kubwa na vijana kuliko wazee.hii ni kutokana na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na vijana bungeni.
Tumuunge mkono kijana huyu mchapa kazi ili atusaidie kuingia ikulu 2015.
kwa mtu yeyote makini anaefanya maamuz kwa UTAFITI
FIKRA
UKWELI&UJASIRI
asiyekuwa kibaraka atakubaliana na mada kuwa ZITTO ni chaguo sahihi na chaguo la wengi!!!
hata chadema,mbowe,slaa wanaliju hilo...!
binafsi niliwaeleza kua vikao vya juu vya chama ndio vitaamua nani wa kusimama.na niliwaeleza kua cdm kama taasisi ya kidemokrasia haitakosea kumuweka mgombea.na niliwahakukishia kua cdm haitaweka mtu ambae itakua vigum kumnadi.lkn pia niliwatoa wasiwasi kua hata chadema inaujua uwezo wa zito.pia kuna wana ccm wanaowatumia baadhi ya wanachadema kumchafua zitto hivyo wananchi wawe makini na propaganda za kuchafuliwa viongozi.ushauri wangu kwa wana jamvi ni kua tuwe makini na wote wanaokuja humu jf kumchafua zitto kwa kua anakubalika chadema na nje ya chadema.mfano mzuri ni ushindi wake ktk kamati ya bunge ya hesabu za serikali.PAC.
Out of dissrespect Mwobwo nashindwa kuwaelewa watu wa namna yako ambao wanaamua kupost mada ambazo hazina mantiki yoyote.umetoa hii mada kwa lengo gani????unapotoa mada ya Mh Zitto na chama chake cha chadema na kupata comments za watu ni ili zikufurahishe wewe binafsi au ziwafurahishe waliokutuma?suala la kuongelea mambo ya uraisi miaka miwili kabla ya kufikia muda wa uchaguzi wa uraisi linasaidiaje wananchi kwasasa.Unapoongelea mambo ya uchaguzi wa Raisi 2015 wakati huu ambao tayari tuna Raisi yuko madarakani ambaye anahitaji sala zetu na ushirikiano wetu ili afanikiwe kutekeleza majukumu yake ya kuliongoza taifa,unakosea na unamvunja nguvu Mh Raisi kwenye utekelezaji wa shughuli zake.Kama wewe ni mfuasi wa Zitto sidhani kama una lengo zuri lenye kumsaidia Zitto au kusaidia chama chake kwenye uteuzi wa mgombea uraisi 2015.Mh Zitto alitoa nia yake ya kutaka kugombea uraisi 2015 kwa nia nzuri tuu akielewa kwamba kupata nafasi ya kuchaguliwa kuwa mgombea wa uraisi kupitia chadema ni suala ambalo lina jumuisha watu wengine na anayepata nafasi hiyo ni kwa kupitia wingi wa kura anazopata kutoka kwa wapigaji kura ambao ni wajumbe wa chama chake.Wapenzi na wafuasi wa chadema watampigia kura mgombea uraisi yoyote ambaye chama cha chadema kutampitisha kugombea uraisi 2015.nia ya Zitto ya kutaka kugombea uraisi 2015 isiwe ni sababu ya kujaribu kuivuruga chadema au kuleta malumbano kati ya chadema na zitto.mambo ya zitto na chadema tuwaachie wahusika na sio kazi yetu kuladili mambo yasiyo tuhusu.Ya kaisari mwachie kaisari na ya wananchi waachie wananchi.upotofu,umbeya,uzindiki na ubinafsi hauna nafasi hapa JF.Jamii forums ni sehemu ya kuelimishana, kupeana habari na kuchangia mawazo au hoja zenye manufaa kwa watanzania wote na sio sehemu ya udaku.ushindwe katika jina la Mungu/Allah ambaye ni mtoa maamuzi ya mwisho..Leo nilikuwepo katika kijiwe kimoja hapa Morogoro,hawajamaa ni marufu sana kwa kuichambua siasa ya Tanzania.Hoja kubwa ikawa ni umaarufu wa Zitto ambao wengi wanadai kwa sasa unazidi hata umaarufu wa chama,hivyo wadau wengi wakadhauri kua Zitto ni mtaji mkubwa kwa chama endapo wataamua kumtumia ktk uchaguzi mkuu wa 2015 kwa sababu zifuatazo.
1.Kuifuta propaganda ya udini iliyoanza kuenezwa kwa wa tz.
2.Kuifuta propaganda ya ukabila na ukanda inayoenea kwa kasi sana.
3.Zitto anakubalika sana maeneo mengi kutoksna na michango yake bungeni yenye maslahi kwa taifa.
4.Zitto kukosa kashfa zinazo mkabili.mfano wapo wanao shutumiwa kwa kuwa na kadi zaidi ya moja.hii ni ngumu kumuelewesha mwananchi wa kawaida.hivyo kwa zitto haitamkumba.
5.Watanzania sasa hasa vijana wanaimani kubwa na vijana kuliko wazee.hii ni kutokana na mapinduzi makubwa yaliyofanywa na vijana bungeni.
TUMUUNGE MKONO KIJANA HUYU MCHAPA KAZI ILI ATUSAIDIE KUINGIA IKULU 2015.