Ni jambo la kushangaza kabisa mtu mwenye taaluma ya udaktari, yaani mtu aleyesomea, si chini ya miaka mitano, mbinu za kuzuia binadamu kufa, leo anasema ndio kwanza kajua kuna kifo baada ya ajali ya iliyosababishwa na mwendo kasi katika mbuga ya wanyapori. Ni jambo jema daktari huyu wa magonjwa...
Ni jambo la jabu kabisa katika karne ya sasa kutizama ajira ya watoa huduma kwa kigezo cha sura na umbile badala ya taaluma na uwezo wa kutoa huduma? Hawa mabinti hawapo pale kuuza uchi, why do you judge them by their looks? We should start treating our women with dignity, bigotry should have...
Matusi siyo jambo jema katika kujadili hoja. Ikiwa mimi naamini kuwa makanisa ni sehemu ya watu kuwaibia masikini, wewe mwenye hoja mbadala iweke hapa nielimike. Matusi yanasaidia nini?
Harafu wakati mwingine kabla ya kutoa maoni yako sikiliza na jitahidi kuelewa hoja ya mwingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.