Sasa ni wakati muafaka kwa CHADEMA kuangalia uwezo wa Tundu Lissu kuendelea kuwa mwanasheria wa chama

May 11, 2016
75
149
Nadhani jinsi Chadema inapojichimbia mizizi yakuwa chama kikubwa cha upinzani kusini mwa jangwa la Sahara inatakiwa kujiimarisha sehemu kadhaa ikiwa na pamoja kuwa na wanasheria wenye uelewa wa mambo ya kimataifa kwa upana.

Uwezo wa Lissu katika sheria za kimataifa umekuwa hafifu sana ukilinganisha na uwezo mkubwa alionao katika masuala ya sheria ndogondogo za ndani.

Moja ya uwezo wa kiasi aliowahi kuuonesha Lissu aliwahi kuwadanganya Mbowe na Lowassa kwamba waende mahakama ya uchaguzi duniani kumshtaki Magufuli baada ya uchaguzi wa 2015,kumbe hata hiyo mahakama haipo kabisa,mzee wa watu akachoma nauli plus hela walizomchaji kugombea urais,ikawa hasara juu ya hasara.

Nyingine ni pale alipowaita waandishi wa habari huku akiwa amesweat kabisa na kwa uhakika wote akiwataka watanzania tujiandae kushitakiwa maana Magufuli anafanya vitu kwa kukurupuka.

Wakati huohuo Lissu ameonesha uwezo wa juu kwenye kesi za uchochezi ambazo anazimudu kwa kiwango cha juu.

CHADEMA inabidi imuache Lissu abakie kwenye mambo ya sheria nchini huku yale ya sheria za kimataifa watafute mtu mwenye uweledi zaidi.
 
Nadhani jinsi Chadema inapojichimbia mizizi yakuwa chama kikubwa cha upinzani kusini mwa jangwa la Sahara inatakiwa kujiimarisha sehemu kadhaa ikiwa na pamoja kuwa na wanasheria wenye uelewa wa mambo ya kimataifa kwa upana.
Uwezo wa Lissu katika sheria za kimataifa umekuwa hafifu sana ukilinganisha na uwezo mkubwa alionao katika masuala ya sheria ndogondogo za ndani.
Moja ya uwezo wa kiasi aliowahi kuuonesha Lissu aliwahi kuwadanganya Mbowe na Lowassa kwamba waende mahakama ya uchaguzi duniani kumshtaki Magufuli baada ya uchaguzi wa 2015,kumbe hata hiyo mahakama haipo kabisa,mzee wa watu akachoma nauli plus hela walizomchaji kugombea urais,ikawa hasara juu ya hasara.
Nyingine ni pale alipowaita waandishi wa habari huku akiwa amesweat kabisa na kwa uhakika wote akiwataka watanzania tujiandae kushitakiwa maana Magufuli anafanya vitu kwa kukurupuka.

Wakati huohuo Lissu ameonesha uwezo wa juu kwenye kesi za uchochezi ambazo anazimudu kwa kiwango cha juu.
Chadema inabidi imuache Lissu abakie kwenye mambo ya sheria nchini huku yale ya sheria za kimataifa watafute mtu mwenye uweledi zaidi.
Watu kama nyie huwa mnanisikitiha sana .sijui ninjaa . hata kama ninjaa kweli hakuna namna nyingine yakupambana uweze kujiingizia kipato.Mungu akusamehe bure .pia akupe kipato kizuri angalau auche maisha yakujipendekeza.
 
SAD. Tunakuombea kwa Mungu wa Lissu akuponye na wewe, maana mungu wenu huko anaweza kuwa choko, hakuna mnachofanikiwa.
 
Nothing was done huenda tumehongwa billion mia sita...... hela gani haina Maelezo? Utasemaje ya kudumisha uhusiano Wakati tunawadai trillion Mia nne?...
 
Si haba! Kwani KIDUME asinge simama kidete hata hizo tusinge zipata TULISHAPIGWA! Hata hivyo bado hesabu zinakokotolewa!
Hesabu gani tena wakati mmeshapokea 300 hapa mnaulizwa tu mtatoa au hamtoi?
Wazungu wanawastiri aibu zenu na ndio maana mazungumzo yanachukua muda madai ya report za mruma na osoro ni makubwa mno na mliambiwa sio visible.
 
Back
Top Bottom