Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,708
- 8,749
Nakumbuka siku za nyuma mida ya SAA 12 jioni inaposhushwa Bendera ya Taifa watu tukisimama kwa adabu na ukakamavu hadi bendera inaposhushwa na kupiga filimbi kuruhusu watu kutembea
Ila siku za hivi karibuni nimegundua watanzania wengi hawana muda tena wa kuheshimu Bendera inaposhushwa
Mgambo anapiga filimbi kuashiria muda wa kushusha Bendera ya Taifa lakini watu hawana time wala mpango wowote wa kusimama ndo kwanza wanaendelea kuchapa lapa
Je hii ni kiashiria kwamba sasa watanzania wamechoka kuziheshimu alama za Taifa
Wapo busy na mambo yao hivyo kusimama dakika 2 kusubiri Bendera ishushwe ni kupoteza muda tu
Au watu hawana uzalendo na nchi yao?
Nawasilisha
Ila siku za hivi karibuni nimegundua watanzania wengi hawana muda tena wa kuheshimu Bendera inaposhushwa
Mgambo anapiga filimbi kuashiria muda wa kushusha Bendera ya Taifa lakini watu hawana time wala mpango wowote wa kusimama ndo kwanza wanaendelea kuchapa lapa
Je hii ni kiashiria kwamba sasa watanzania wamechoka kuziheshimu alama za Taifa
Wapo busy na mambo yao hivyo kusimama dakika 2 kusubiri Bendera ishushwe ni kupoteza muda tu
Au watu hawana uzalendo na nchi yao?
Nawasilisha