Recent content by SaraM

  1. SaraM

    Mume wangu anacheat nifanyeje?

    Pole sana, inafurahisha na kutia moyo pale mpenzi/mume anapokuwa amekosea ukagundua anakuwa anajutia kosa na kukuonyesha kuwa kakukosea, lakini sio majibu ya mkato, na ya uongo,huyu anahitaji kupelekwa kwa wazee
  2. SaraM

    Wanaume nisaidieni, mwanaume mwenye upendo wa dhati kwa mpenzi wake ana act vp?

    haya mambo yana flow yenyewe tu,hayana formula, nasikia kuna kabila bila kupigwa hajaona kama anapendwa, bun naona kama una mpenzi wako unampenda na unataka awe mkeo,mwonyeshe tu kuwa unampenda sana, kuliko ulivyompenda mwanamke yeyote hapa duniani, na kwamba uko tayari kushare maisha yako yote...
  3. SaraM

    Mke wangu anagubu na pepo wa mauti

    Duh huyo mwanamke anajiamini nn mpaka anainua mkono wake na kukupiga? embu jiulize
  4. SaraM

    Nilichokishuhudia mume wangu akifanya siamini

    Mi nakushauri usiondoke kabisa, kuna mambo ya ajabu zaaidi ya hayo humu duniani, jitahidi kumkalisha na kumwambia anayofanya siyo vizuri,mtishie hata kumsemea kwa wazazi wa huyo mtoto, na kama atazidi mwambie utamtoa gazetini,mtishie tu,coz viongozi wanaogopa sana magazeti.
  5. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Mambo mengi sana tunaongea, na kumbuka kakaa miaka yote tano bila kusema kaja kusema majuzi,kwa kweli inasikitisha sana,sasa embu imagine, kwa kunambia mie tu mdogo wake watu pia wanasema angeyaficha ya mume je akaenda kwa washauri wengine? watu watasemaje, na yeye pia ni mtu wa kutaka kuonekana...
  6. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Ahsante kwa majibu mazuri Who Cares....dada yeye yuko mid thirties, bado anadai, na shem anaenda gym kwa ajili ya mazoezi,kuhusu kumfatilia nyumba ndogo, alimfatilia yule aliyemkuta nae, akakuta ni msichana mwenye mchumba na pia ana bwana mwingine mume wa mtu pia, iliishia hapo, na si mtu wa...
  7. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Ilianza miaka hiyo niliyotaja,anasema alianza kama utani, inaweza akawa anamhitaji leo usiku akaambiwa ana stress, ilikuwa week haipiti, ikaanza kupita, mara mwezi mara akawa anajisahaulisha,ugomvi wao ni wa kawaida kama couple nyingine,sio maugomvi makubwa sana,hajawahi ombwa tigo hata mara...
  8. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    shem haumwi kisukari, sio mnene wa kivile
  9. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Babu Dc please come back,mwaga busara zako
  10. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Atakuwa kavumilia sana sana maana ungemwona miaka tano nyuma na sasa lazima kama ndugu yako ungembana, nimembana sanasana, kasinyaa, hata mkitoka haongei kama zamani, ana presha imemuanza na ni mwembamba, si poda wala cream hazimkai, kazidiwa,anaogopa hata kwenda kanisani au kwa wazazi
  11. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Sio mie, sijaolewa nivea.ingekuwa mie wala nisingeona shida coz hakuna anaenijua humu
  12. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    kasema kila akijaribu kuongelea hilo swala analetewa ukali wa hali ya juu, na kumbuka kumwongelesha mwanaume kitu hicho yataka ujasiri,akimwambia twende hospital anajifanya kaenda mwenyewe anarudi na vidawa vya forever living na health sijui nini, yaani nimeonyeshwa, naona kama ni za kawaida tu...
  13. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Naweza sema maybe anae mtu,lakini navyowaona hakuna changes zozote, zaidi ya sister kusinyaa kila kukicha.
  14. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Sioni like!! thanks snow
  15. SaraM

    Ndoa bila Tendo......Msaada

    Nyani Ngabu, maisha si ndio hayahaya tunayoishi, hatuwezi zungumzia jipya zaidi ya hayahaya tuuu,toa busara zako
Back
Top Bottom