Wakuu.
Naomba nijue, kama airtel internet inafanya kazi ?
Because for last few days IPO SLOW HALIMBAYA. NIPO KWEMYE SWITCHON YA MWEZI.
Ni saidiyeni jamani.
Wakuu.
Naomba unisaidie kuchagua internet package ipi ni bora.
Manake sasa hivi natumia switchon lakini imepungua speed saana. Sijui kwanini. Nimechoka kabisa.
KAMPUNI WA MARKETING (Wanayo husisha kwenye matangazo za barabarani) nitawapata wapi ?
Sasa hivi niliona matangazo kama za NMB Bodaboda na zingine, nani anazi fanya ?
Hujani elewa.
I am looking for a company which deals in outdoor advertising (which are mobile advertising billboards)
sasa hivi naziona sana hizo bango barabarani..anani anazi tuwa hizo huduma.
Je unayo wood-floor za zamani, na zimechoka ?
Tuna fanya polishing / sanding na mashine. With professional technicians.
Angalia hiyo brochure.
Call 0784 76 87 86
BEI YA ALUMINIUM IFUTAVYO-
5ft x 5ft - 247,500/-
6ft x 6ft - 356,500/-
* FREE installation within DAR.
* Kio ayna yoyote 5mm.
(Hiyo bei ni mpaka March 2014)
Contacts-
0784 76 87 86
BEI YA ALUMINIUM IFUTAVYO-
5ft x 5ft - 247,500/-
6ft x 6ft - 356,500/-
* FREE installation within DAR.
* Kio ayna yoyote 5mm.
(Hiyo bei ni mpaka March 2014)
Contacts-
0784 76 87 86
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.