Achana naye mapema mbele yako kuna shida kubwa mno mimi Nina mtoto wa hivyo ni mkubwa na chuo kahitimu ila nikikutana na mama yake huwa siulizi ni hela ya gest tu hao hawataachana labda mmoja afe litakusumbua milele yako piga chini mapema ni shiiidaa kuliko shida yenyewe watabanduana tu...
Raisi kapewa habari za kufikirika hazina ukweli kwa tabia ya raisi wetu alivyo kama kungekuwa na madudu kweli angenchana hadharani palepale asingesubili kesho msechu hana madudu ila wafitini anao wengi
Kiini ni mkutano wao wa beging uliwapa kiburi kuwa tupo sawa na wanaume wamekiuka agizo na madhumuni ya mungu kwa Mara nyingine tena wanastahili hayo yawapatayo
Sasa wanabadii jinsia wawe waume sasa wanaoana wao kwa wao hii ni laana imeingia kwao
Kuondoa hii wakumbuke wapi walipo jikwaa na...
Tumekwenda mbali sana kijeshi tunapasua matofari kwa kichwa vibao kwa teke tualuka na sarakasi hapohapo tunajua kushuka kwenye helkopta kwa kamba tupo vizuri kuliko kolea k wao wanarusha makombora tu
Achana na huyo mkeo aishi na apendaye atakusumbua usipate maendeleo ila wahi kuoa jaza nafasi akikusudia kurudi ashindwe hata vitabu vitakatifu vinaruhusu kuvunjwa kwa ndoa za hivyo
Athari zipo sisi sio wabunifu kila kitu tunaiga kutoka nchi za magharibi hata hatuulizi kwa nini kipo wao kwa sababu ya ngozi zao nyeupe uwezo wa kutunza joto ni mdogo ndicho kinawapelekea kufanya hayo weusi hatuna sababu ya hayo ngozi zetu zinatunza sana joto mapaja makubwa chura ute wa asili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.