Recent content by sapato

  1. S

    Nairobi, Kenya: Tundu Lissu aituhumu Serikali ya Tanzania kwa jaribio la kutaka kumuua na Bunge kutomhudumia Matibabu

    Wakisema huko uwatoe nje huku Mimi nita diili nao sasa wanasemea Nairobi inakuwaje huko nako
  2. S

    Jeshi la anga la Uganda lavamia kambi za waasi wa ADF ktk jamhuri ya Congo DRC.

    Kagame au museveni hawawezi ruhusu kushambuliwa kwa vikosi vya ADF wao ndio wanao vifadhili
  3. S

    Mpenzi wangu amenisaliti na mzazi mwenzake! Nina wasiwasi ataendelea kunisaliti naye

    Achana naye mapema mbele yako kuna shida kubwa mno mimi Nina mtoto wa hivyo ni mkubwa na chuo kahitimu ila nikikutana na mama yake huwa siulizi ni hela ya gest tu hao hawataachana labda mmoja afe litakusumbua milele yako piga chini mapema ni shiiidaa kuliko shida yenyewe watabanduana tu...
  4. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Peleka namba ya mita ofisini wao watajua deni halisi la hiyo mita
  5. S

    Kumbe NHC kuna madudu na madili ya kufa mtu! Mchechu atumbuliwe?

    Raisi kapewa habari za kufikirika hazina ukweli kwa tabia ya raisi wetu alivyo kama kungekuwa na madudu kweli angenchana hadharani palepale asingesubili kesho msechu hana madudu ila wafitini anao wengi
  6. S

    Hoja: Mjane kuishi na mume mpya katika nyumba yake ya urithi, je ni sahihi?

    Mwanaume akifiwa na mke huitwa mgane sio mjane
  7. S

    Hoja: Mjane kuishi na mume mpya katika nyumba yake ya urithi, je ni sahihi?

    Agizo la mungu baba ni kichwa cha nyumba mama ni kiwiliwili ndio maana akifa mke hatuhoji kichwa kipo bado
  8. S

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Kiini ni mkutano wao wa beging uliwapa kiburi kuwa tupo sawa na wanaume wamekiuka agizo na madhumuni ya mungu kwa Mara nyingine tena wanastahili hayo yawapatayo Sasa wanabadii jinsia wawe waume sasa wanaoana wao kwa wao hii ni laana imeingia kwao Kuondoa hii wakumbuke wapi walipo jikwaa na...
  9. S

    Kimenuka; Malaysa wasema jeshi lao lipo tayari kuihami Jerusalem

    Tumekwenda mbali sana kijeshi tunapasua matofari kwa kichwa vibao kwa teke tualuka na sarakasi hapohapo tunajua kushuka kwenye helkopta kwa kamba tupo vizuri kuliko kolea k wao wanarusha makombora tu
  10. S

    Nimeingia kwenye bifu zito na mgoni wangu Boloyank, amekodi watu "wanipige mashine"

    Achana na huyo mkeo aishi na apendaye atakusumbua usipate maendeleo ila wahi kuoa jaza nafasi akikusudia kurudi ashindwe hata vitabu vitakatifu vinaruhusu kuvunjwa kwa ndoa za hivyo
  11. S

    Wanawake ni walevi hadi wanakera!

    Wa Dada wa zamani walikuwa wanajua kupika vizuri kama mama zao wadada wa sasa kupika hawajui wanakunywa pombe kuliko baba zao
  12. S

    Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki aitwa Uhamiaji kuhojiwa juu ya uraia wake

    Magu ata lala naye mbele ajiangalie
  13. S

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Athari zipo sisi sio wabunifu kila kitu tunaiga kutoka nchi za magharibi hata hatuulizi kwa nini kipo wao kwa sababu ya ngozi zao nyeupe uwezo wa kutunza joto ni mdogo ndicho kinawapelekea kufanya hayo weusi hatuna sababu ya hayo ngozi zetu zinatunza sana joto mapaja makubwa chura ute wa asili...
Back
Top Bottom