Ushabiki bila mapenzi ni unafiki!! Waambie na wenzio wenye tabia kama hii. KAMA UNAMAPENZI NA ZITO MPELEKE AKAIONGOZE FAMILIA YAKO KILA SIKU ZITO..., ZITO..., HAKUNA MAMBO YAKUJADILI AU UMEFUFUKA NI MZIMU HUENDI NA WAKT..... ACHA UPUVA.
JIMBO LA MSALALA KW MAIGE: nipo huku kikazi muda huu CHADEMA Wame ongoza kijiji cha shila bela mwkt kitongoji, Isaka bandari ya nchi kavu bw Rajabu anaongoza mwkt kitongoji (CDM), kuna baadhi Ya sehemu kama isaka jana, msikiti wa mwembe chai barabara ya pili isaka wame ahirisha japokuwa mgombea...
Nilipata sikiliza kidogo sehemu ya hotuba ya rais wa uganda Y.MU 7 Katika sherehe ya kenya na nikagundua kuwa huyu jamaa ni future [II] dectator wa Uganda. Na huenda akatusumbua EA baadae kama ilivyo kuwa kw nduli Id Amin dada. Kwa kauli zake za kibabe na ubaguzi ulo pita kiwango jirani zetu...
chuki ni titi la nguruwe halifai kwa mtindi...... Hata wakimpoteza historia itamwelezea "mola amlinde kamanda wetu wahaki na walaaniwe ccm na njama zao"
Wanasema ati, jeshi ni lao, polisi ni wao, wakidai haki wapigwe tu!!!! Hivi na sisi wananchi ni mali yenu...??? AMKA MTANZANIA HII NCHI NI YETU SOTE!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.