Mzee Genta kukaa nje ya tasnia (uchambuzi) haimaanishi huifahamu tasnia. Kongole kwako kwa maoni yako ndani ya huu uzi. Walikushambulia sana lakini muda umesema!!
Lawama zote za leo anatupiwa konda msafi.
Mzee umeharibu gemu ya Simba kwa Madiba. Manula akili yake yote ilikuwa inamuwaza Khumbu. Hajui tu kuwa huyu demu alishakfa?
Huyu Emilio Mzena kwa uhalisia, nasikia ndiye yule mtu aliyejulikana kama "Chief" kwenye riwaya za mzee Elvis Musiba miaka hiyo, alikuwa bosi wake na Willy Gamba. Mcheki kwenye Njama, Kikomo, Kikosi cha Kisasi, Uchu etc. Kama ndivyo basi watakuwa wanamuenzi maana huyu mzee alikuwa ni lulu sana...
Kama hana account humu yenye jina lake basi anayo yenye jina 'feki', kwa kifupi huu uzi keshaupitia wote. Huyu mtu anapata tabu sana wakati akiwa amelala, dhamiri itakuwa inamtesa sana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.