Recent content by Santi

  1. Santi

    JamiiForums Tanzania Mwana-JF usisahau kulog out kwenye akaunti yako ukishamaliza shughuli zako humu

    Sasa mzee akipitia huu uzi si atakujua, mkuu?
  2. Santi

    JamiiForums Tanzania Ufalme wa Mungu upo ndani yenu – Luka 17:21

    Hakika mtumishi wa Mungu.
  3. Santi

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kilichotokea Oct 29, Pamoja na Media ya TZ Kutotimiza Wajibu Wetu Kikamilifu, Bado Tuna Wajibu! Kwanini Hatutimizi Wajibu Wetu Baada ya Tukio?

    Kaka 'Paskali' hii meza unayoitingisha ina vinywaji vya bajeti ya juu sana.🙌
  4. Santi

    JamiiForums Tanzania Dunia ya giza nyuma ya kuta za mochwari

    Huu uzi unaogopesha lakini mkuu hakuna namna, endelea kuuongezea minofu. Wote tutarejea kwake.
  5. Santi

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Kwa kuangalia gestures tu za muungwana anayetoa maelezo hapo utagundua kuna jambo haliko sawa sawa. Itoshe kusema, nchi ipo matopeni kwa mara nyingine tena.
  6. Santi

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa X zamani twitter watoweka hewani - Februari 16, 2026

    https://www.foxbusiness.com/fox-news-tech/x-outage-takes-down-social-media-platform?cmpid=FNC_app
  7. Santi

    JamiiForums Tanzania Car Service Episode 6/10: Spark Plugs na Ignition Coils!

    Ahsante sana kwa elimu mkuu Mad Max
  8. Santi

    JamiiForums Tanzania Tatizo la gari za Nissan kushtukashtuka(misfire) kati ya speed 40Km/h mpaka 60Km/h

    Mkuu Jitu naomba namba yako pm nitutafute utatue tatizo.
  9. Santi

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Iongezee nyama hii mkuu Mshana, au tuletee kauzi kabisa, ilikuwaje kuwaje? Happyy new year 2026 mkuu.
  10. Santi

    JamiiForums Tanzania Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Kaka wa shangazi yako si 'mshua' wako, AU? Kwa kifupi huyo ni mdogo wako?
  11. Santi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano ya Ikulu ya Zanzibar, Charles Hillary afariki dunia

    Ooh, kumbe mama 'Eda Sanga' alishatangulia mbele za haki? Alifariki mwaka gani, mkuu?
  12. Santi

    JamiiForums Tanzania Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Tupo, shule ya msingi Mpirani.
Back
Top Bottom