Kwa kuangalia gestures tu za muungwana anayetoa maelezo hapo utagundua kuna jambo haliko sawa sawa.
Itoshe kusema, nchi ipo matopeni kwa mara nyingine tena.
Mkuu pole sana kwa changamoto uliyopitia na hongera sana kwa maamuzi uliyofikia.
Rafiki yangu mmoja alipia haya uliyopitia mpaka kupeana talaka Mahakamani, baada ya miaka mitatu nje ya ulingo wa ndoa hatimae walirudia, sijui ni nani alimdanganya.
Sasahivi jamaa anaisoma namba, ugonjwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.