Recent content by Santi

  1. Santi

    Gerson Msigwa: Meli iliyokamatwa na Cocaine El Salvador imesajiliwa Zanzibar, na tayari imefutiwa usajili

    Kwa kuangalia gestures tu za muungwana anayetoa maelezo hapo utagundua kuna jambo haliko sawa sawa. Itoshe kusema, nchi ipo matopeni kwa mara nyingine tena.
  2. Santi

    Mtandao wa X zamani twitter watoweka hewani - Februari 16, 2026

    https://www.foxbusiness.com/fox-news-tech/x-outage-takes-down-social-media-platform?cmpid=FNC_app
  3. Santi

    Tatizo la gari za Nissan kushtukashtuka(misfire) kati ya speed 40Km/h mpaka 60Km/h

    Mkuu Jitu naomba namba yako pm nitutafute utatue tatizo.
  4. Santi

    Miaka 20 ya JamiiForums (Machi 2006 - Machi 2026): Tukio gani hutalisahau lililotokea ndani JF?

    Iongezee nyama hii mkuu Mshana, au tuletee kauzi kabisa, ilikuwaje kuwaje? Happyy new year 2026 mkuu.
  5. Santi

    Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Kaka wa shangazi yako si 'mshua' wako, AU? Kwa kifupi huyo ni mdogo wako?
  6. Santi

    TANZIA Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano ya Ikulu ya Zanzibar, Charles Hillary afariki dunia

    Ooh, kumbe mama 'Eda Sanga' alishatangulia mbele za haki? Alifariki mwaka gani, mkuu?
  7. Santi

    Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Tupo, shule ya msingi Mpirani.
  8. Santi

    Elon Musk afananishwa na Nick Cannon baada ya kupata watoto 13 na wanawake 4 tofauti

    Mwamba wala haja na 'Kinga' yeye ni 'Kavukavu' tu.
  9. Santi

    Hatimae hukumu imetoka tayari, siku ya kwanza tu ya kesi kusikilizwa

    Mkuu pole sana kwa changamoto uliyopitia na hongera sana kwa maamuzi uliyofikia. Rafiki yangu mmoja alipia haya uliyopitia mpaka kupeana talaka Mahakamani, baada ya miaka mitatu nje ya ulingo wa ndoa hatimae walirudia, sijui ni nani alimdanganya. Sasahivi jamaa anaisoma namba, ugonjwa wa...
  10. Santi

    Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

    Ndio maana ameenda kujisajili UDSM apate degree, mkuu (joke)! 🤣
Back
Top Bottom