Recent content by Santi

  1. Santi

    Lissu: Nilikuwa best student faculty of law na nilitamani kuwa Profesa ili nifundishe Sheria

    Mzee hii makala ikiwa tayari usisahau kunitag mkuu, tafadhali.
  2. Santi

    Dar: Mauaji Lemax Bar Sinza kwa Remmy. Kabla ya kujiua, Alex Korosso alimpiga risasi Gift Mushi

    Mzee Omaru (DJ Ommy), umemsahau Chami na Lisa Peter!
  3. Santi

    Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

    Mzee Genta kukaa nje ya tasnia (uchambuzi) haimaanishi huifahamu tasnia. Kongole kwako kwa maoni yako ndani ya huu uzi. Walikushambulia sana lakini muda umesema!!
  4. Santi

    Namtafuta sana anayewadanganya Mashabiki wa Simba SC kuwa Kaizer Chiefs FC ni 'wepesi' na 'utopolo' mno kama walivyo Yanga SC

    Sisi Kaizer Chiefs hatuna uwezo wowote yaani, sisi ni vibonde tu!!
  5. Santi

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Lawama zote za leo anatupiwa konda msafi. Mzee umeharibu gemu ya Simba kwa Madiba. Manula akili yake yote ilikuwa inamuwaza Khumbu. Hajui tu kuwa huyu demu alishakfa?
  6. Santi

    Hospitali ya Mzena inamilikiwa na nani? Kwanini iitwe Mzena?

    Huyu Emilio Mzena kwa uhalisia, nasikia ndiye yule mtu aliyejulikana kama "Chief" kwenye riwaya za mzee Elvis Musiba miaka hiyo, alikuwa bosi wake na Willy Gamba. Mcheki kwenye Njama, Kikomo, Kikosi cha Kisasi, Uchu etc. Kama ndivyo basi watakuwa wanamuenzi maana huyu mzee alikuwa ni lulu sana...
  7. Santi

    Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge

    Wakati huo huo kuna mmoja kati ya wale wamama alikuwa jela hiyo tarehe 20/11/2020, vichekesho!!
  8. Santi

    Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

    Kama hana account humu yenye jina lake basi anayo yenye jina 'feki', kwa kifupi huu uzi keshaupitia wote. Huyu mtu anapata tabu sana wakati akiwa amelala, dhamiri itakuwa inamtesa sana!!
  9. Santi

    Uchaguzi 2020 Je, taarifa iliyotolewa kwa Umma na Dkt. Mahera wa Tume ya Uchaguzi ni ya uongo?

    Mambo ni mengi kuliko muda, huu ,waka unaisha vibaya sana!!
  10. Santi

    WTF Friday, SMH, and the CCM politburo

    "..What was the CCM politburo thinking in the run up to the nomination process in 2015? Did they know he was this bad/ stubborn?.." 😄😄
Back
Top Bottom