Nimejifunza mengi sana kupitia hili bandiko Pongezi kwa wakuu wote kwa michango yenu yenye tija kulingana na mada husika,ila mkuu Kiranga heshima kwako bado najifunza mengi kupitia wewe.
Tanzania sasa ni wakati mzuri wa kujitafakali ni wapi tunaelekea..?? Hiv angepiga picha hayo majengo kisha angeyasifia ubora wake leo hii wangemkamata??Tanzania tunaenda pabaya sana ila leo amepiga picha kuonesha ubovu wa majengo imekuwa kesi mpak kushikiliwa na polisi aiseee...inasikitisha sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.