Recent content by SankoTriple07

  1. SankoTriple07

    Aina 16 za watu duniani

    Goodah!!
  2. SankoTriple07

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] Kiranga uko njema sana.
  3. SankoTriple07

    Je! Mungu ni yule yule?

    Nimejifunza mengi sana kupitia hili bandiko Pongezi kwa wakuu wote kwa michango yenu yenye tija kulingana na mada husika,ila mkuu Kiranga heshima kwako bado najifunza mengi kupitia wewe.
  4. SankoTriple07

    The Real Hidden World

    Mkuu tunasubili nondo hizo
  5. SankoTriple07

    Kijana aliyetuma picha za Nyufa za Hosteli za Magufuli UDSM akamatwa na Polisi, anyimwa dhamana

    Tanzania sasa ni wakati mzuri wa kujitafakali ni wapi tunaelekea..?? Hiv angepiga picha hayo majengo kisha angeyasifia ubora wake leo hii wangemkamata??Tanzania tunaenda pabaya sana ila leo amepiga picha kuonesha ubovu wa majengo imekuwa kesi mpak kushikiliwa na polisi aiseee...inasikitisha sana.
  6. SankoTriple07

    Msemaji wa Serikali: Rais Magufuli hakukataa kuongeza mishahara ya watumishi wa umma bali posho za Madiwani

    Mmmh kweli wanatufanya sisi ni mabwege nazi tuna masho lakini hatuoni
  7. SankoTriple07

    KARIAKOO, DAR: Polisi wavamia mkutano wa Sheikh Ponda, wakamata waandishi wa habari wawili baada ya kumkosa Ponda

    Tanzania tunatumia njia ya passive resistance cjui tutafanikiwa katika hii njia?? Muda utaongea ..
Back
Top Bottom