Recent content by sankara25

  1. S

    Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

    Ndio maana wale wanaoa kwa kigezo cha tako mwish wa siku wanapat tabu mnoo kwa sabab mtu akishamuoa mke wake akawa nae ndan awe na tako asiwe na tako anamuona wakawaida tu
  2. S

    Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

    😂😂 Ukishaoa kipaumbele inakua sio uchi wala tako ni kuandamwa na majukum kwend mbele
  3. S

    Wapendanao kuchokana, nini sababu hasa?

    😂😂 Mkuu hakuna iyo kitu ya kudindisha hovyo kwa mkeo na ndio maana inafikia time mkeo ata akipita uchi mbele yako unakua huna ata time ya maku.
  4. S

    Nawachukia sana Polisi

    Sio police wote ni washenzi wapo ambao wana utu na roho nzur uku kwetu mtu umbambikie kesi ati umchukue kwa pingu mambo ya kuchoreshana hakuna raia wa ivyo nishashuhudia wana kibao wanakataa kutiwa pingu mwisho wa siku askar inabidi akubali tu kuondoka na raia bila kutiana pingu ujue kutiana...
  5. S

    Yanga 2-0 Mbeya City | Ligi kuu NBC | Benjamin Mkapa

    Mbona leo uzi umepoa sana au mashabik wa simba ndo wameshakata tamaa kufika kileleni ? 😂
  6. S

    Kwenu wanawake mliowahi kubeba mimba, hivi ni kweli mimba zina kisirani au mnajiendekeza tu?

    Kiukwel wanawake wanapenda kudeka mpak wanakera haswaa wife nona ndo kazidi yeye inafikia hatua ata akiumwa kwel nakuwa simuamini nahic anadeka tu
  7. S

    Kwenu wanawake mliowahi kubeba mimba, hivi ni kweli mimba zina kisirani au mnajiendekeza tu?

    Ujauzito ni nusu ya kifo pale wakat wa kuzaa tu. Wanawake mupunguze mideko
  8. S

    Kwenu wanawake mliowahi kubeba mimba, hivi ni kweli mimba zina kisirani au mnajiendekeza tu?

    No hatujazungumzia kuhuc kuumwa ama kutapika tunazungumzia kama ile hali ya kuforce chakula fulani na kama hujampatia mtu inakua ugomvi mkubwa na vilio juu so kama si kujiendekez ni nin? Kwan mtu akikosa icho kitu kwa mda uwo atakufa au?
  9. S

    Msaada Mwenye picha za decorations ya sebule naomba utupie hapa

    Nyumba za mbele wap uko mkuu au unazungumzia nyumba za kweny movies? Hayo mambo yote yanatoka uku uko mbele seme tu hujabahatika tu kuona ila ingia youtube uwone mbele uko watu wanavyozipendezesh nyumba na ayo magypsum 😁
  10. S

    Kwanini Zanzibar hakuna mgao wa umeme

    Ilo ni kweli ten siku izi ndo unakatika katika hovyo ila hauchukui time kubwa unarudi zaman ilikua unaweza kukaa ata 2 months umeme haujawahi kukatika ata kwa sekunde 5 tu na baadhi ya maeneo maji ni masaa 24.
Back
Top Bottom