Sheikh Farid Ahmed
POLISI wameanza utaratibu mpya wa kupiga risasi juu kuwatawanya ndugu na jamaa waliofika kusikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (Jumiki) visiwani Zanzibar, Sheikh Farid Ahmed na wengine 63.
Hofu ilitawala jana katika...
Anadanganya watu kuwatibu ilhali hana tiba yoyote zaidi ya kuwadhulumu watu pesa zao,mimi sijawahi kwenda ila nawajua watu kadhaa waliokwenda na hakuna hata mmoja aliyefanikiwa
Kwa sheria ya umiliki wa ardhi kwa Tanzania mtu asiye mtanzania haruhusiwi kumiliki ardhi bali kwa masharti maalum kwa kupata kibali kutoka kituo cha uwekezaji akiwa ni mwekezaji kwahiyo acha kuropoka hovyo na kuhusu hao wahindi na waarabu wana uraia kama hao wababe wenu al shabab walivyokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.