Recent content by Sangomwile

  1. S

    Unawapa alama ngapi Mbeya City kwa jezi zao?

    Wameshashuka daraja hao,sio kwa jezi hizo.
  2. S

    Mpanzu atua Kambini Misri Kibabe sana

    Hivi alishawahi kucheza dhidi ya Yanga?😄😄
  3. S

    Nimepigwa Tsh milioni 8 kwenye biashara ya uwakala kupitia mfanyakazi mzembe

    Pole kaka,msamehe tu binti,usimfute kazi atakomaa zaidi.
  4. S

    Naomba kazi yoyote Mtwara

    Watakuja tu,vuta subira.
  5. S

    Nimle, au nimpotezee binamu yangu?

    Fuata ushauri wa mababu zetu kwamba'binamu kinyama cha hamu'.
  6. S

    Yanga SC Yashtua Afrika sasa kuisubiri Pyramids au Sundowns!"

    Unamtamani mwanaume liyemuomba talaka mwenyewe😀😀
  7. S

    Nimfanyaje huyu fundi Kwa hizi dharau alizonionesha

    Mshukuru huyo jamaa,anataka kazi ifanyike ipasavyo na kwa wakati
  8. S

    Nadhani watu wanaopenda kula kula sana Huwa wanakuwa na uwezo mdogo wa kufikiria

    Ukiwa na njaa wewe kula tu muda wowote,hizo IQ kubwa hazijawahi kutusaidia sana hasa kibongo bongo.
  9. S

    Hii 'Mashemeji derby' inaenda kufuta ule upuuzi wa Kariakoo

    Mtangazaji amesema hakuna aliyekimbia,wote wamekuja 😀😀😀
  10. S

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Huyu samaki ni mtamu sana,nilishawahi kuyatunza meno yake enzi za utotoni sijui yamepotelea wapi😭😭
Back
Top Bottom