bila shaka naungana nawewe katika hili ya kwamba kuna branches za NMB ambazo zinafanya kazi zake very intelligence hadi wateja muna be happy ila jambo la msingi hizo branches no chache mno ni nadra kuzipata ila asilimia kubwa NMB inawapasa kulekebisha huduma zake ziwe imara zaidi.
Shida sio kuwa koromea, ila shida huduma zao ni mbovu ila wanao sababisha ni customer care na isitoshe nimeshawahi kufika branch ya Lindi ya NMB tunahoji Mbona hatuhudumiwi, huduma haziendi ipasavyo tunakazi zingine zakufanya unakuta manager anakujia juu na anaongea lugha chafu Hadi anakuambia...
Ni vigezo vip vinatakavyo mfanya mteja kuweza kujitoa kwenye service charge? baada tu ya kuwekewa umeme, na mda gani? Anaweza kujitoa pia mchakato wke kwa ujumla upoje?
Sio ifakara tu NMB kalibia matawi yake mengi huwa ni kero, Sifahamu hasa kwa nini? Na ninauzoefu wa hili katika branch za NMB kadhaa Hadi inafikia hatua mtu unachukua uamuzi wa kuondoka bila kupatiwa huduma
Father of all Snipers,
Tatizo sio kufanya Mapenzi ,yeye shida yake nikuacha zinaa. Maana watu wengi wanachanganya kati ya mapenzi na zinaa. Ngoja tujuzane kidogo mapenzi ni yale ambayo hufanywa ndani ya ndoa lakini zinaa hufanywa nje ya ndoa hivyo jalibu kuelewa ni msaada upi mtu anauhitaji...
Kuna sababu kadha wa kadhaa ambazo huwafanya watu kutokuwa na ujasiri wa kuomba msaada kulingangana na mazingira Aghalabu kuogopa matapeli pia ulaghai hasa kwa upande wa akina dada maana ,nk
Haswaa ndio jibu sahihi kaikupasi kujibu in negative way for instance what is your weekness? Huwezi kusema labda mm ni mzembe,, labda nachelewa kazini mvivu, hadi hapo kazi haunaa yaani live hauna kabisa hivyo ni lazima ujibu in positive way
alsaidy,
Aisee marupurupu hayo mpaka kupata lini? Maana mpaka kuja kupewa hayo marupurupu mtu umeshachakaaa na kuchoka kisha upewe marupurupu hakuna kitu kama hiko. Ila la msingi serikalini kipato ni kidogo la msingi usiwe na nyenzo moja tu kama serikalini ni bora pia ukawa na nyenzo nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.