Mrs Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 1,002
- 2,272
Hahaaaaaa mimi mwenyewe nakutosha kwasababu mnataka sana damu changa. Although naweza kuwa mkubwa kuliko wewe. Mimi sina baba alishafariki kitambo nadhani hata wewe ulikuwa hujazaliwa .
Basi baba mlezi mke wake akifa unijulishe nije kuwa mamako wa kambo mdogo