Mkuu di Maria wa Man U au wa real Madrid? Kilichowazidi psg n timu pinzan kuwa na uzoefu wa mashindano makubwa na uzoefu unatikana kwa kucheza mechi nyingi za ligi ya mabingwa sio ufaransa
Mkuu msukuma kokoteni au mpiga tofali anamiliki smartphone unadhan itamletea maendeleo au ndo inamponoa vijisenti vyake kununua mb kushinda fb na you tube, mm naona hz vitu zilikuja mapema tz kabla vijana hatujawa na elimu ya kutosha
Yawezekana ushaur huu ww usikuhusu ila ukweli smartphone nijanga kwa tulio wengi na janga la pili n hz bet haya majanga mawili yapo mikononi mwa vijana wengi
Pole sana kuishi kwa kulalamika ktk utawala unaweza kujisababishia magonjwa yasiokuwa na lazima km sukar presha na nk.. ni ushauri tuu km usijenge chuki
We jamaaa unalalamika kila siku, kwann usifanye siku moja ukaweka uziwako humu ukatema nyongo uliyonayo halafu ukaachana na mpango wa kulalamika ukajikita ktk kutafuta suluhisho ya matatizo ya serikali yetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.