Recent content by Sanda-CR7

  1. S

    Polisi Dar es Salaam: Huyu ndiye anaua Watanzania kwa madawa ya kulevya

    Ngachoka mie nkajua huyo ndo drug mwenyewe
  2. S

    Neymar Kijana anayechukiwa na wanazi hahaha

    Hivi mngeshinda haya makosa ya refa mnayoleta sahv mngeyaongea?
  3. S

    Mwanaume unakoroma kama punda mpaka nashindwa kulala

    Haya ndo madhara ya wanawake wanaoolewa bila kupitia kwa somo kupata ushaur wa kuvumilia changamoto za ndoa
  4. S

    Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

    Mkuu di Maria wa Man U au wa real Madrid? Kilichowazidi psg n timu pinzan kuwa na uzoefu wa mashindano makubwa na uzoefu unatikana kwa kucheza mechi nyingi za ligi ya mabingwa sio ufaransa
  5. S

    Watanzania wengi wanapoteza muda kwenye 'smartphone'?

    Mkuu msukuma kokoteni au mpiga tofali anamiliki smartphone unadhan itamletea maendeleo au ndo inamponoa vijisenti vyake kununua mb kushinda fb na you tube, mm naona hz vitu zilikuja mapema tz kabla vijana hatujawa na elimu ya kutosha
  6. S

    Watanzania wengi wanapoteza muda kwenye 'smartphone'?

    Yawezekana ushaur huu ww usikuhusu ila ukweli smartphone nijanga kwa tulio wengi na janga la pili n hz bet haya majanga mawili yapo mikononi mwa vijana wengi
  7. S

    Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

    Msimshambulie NEIMAR angalien na watu wa timu pinzani
  8. S

    Real madrid

    Mukubwa ni mukubwa muraaa
  9. S

    Yaliyosemwa kampeni za CCM kumnadi mgombea ubunge Kinondoni

    Umeonaeee huyu na nape usiwaamin kabisa wakisemacho
  10. S

    Madhara ya kuingiza mfumo wa haki sawa kijinsia (50 by 50) umeligharimu Taifa

    Acha bange kijana yaan unamaanisha kugegedana ndo imethibitishwa kisayansi dah we mtu umenchekesha sn
  11. S

    Madhara ya kuingiza mfumo wa haki sawa kijinsia (50 by 50) umeligharimu Taifa

    Mkuu umeona mbali Sana hili tatizo n kubwa mno Asante kwa kunifungua ubongo wangu
  12. S

    Tuache siasa za chuki, Lissu alipiwe matibabu

    Kunakukosoa na kulalamika wewe mwanzo mwisho unalalamika tuu sijaona ukikosoa hapa zaidi ya kumnanga mkuu wa nchi
  13. S

    Tuache siasa za chuki, Lissu alipiwe matibabu

    Pole sana kuishi kwa kulalamika ktk utawala unaweza kujisababishia magonjwa yasiokuwa na lazima km sukar presha na nk.. ni ushauri tuu km usijenge chuki
  14. S

    Tuache siasa za chuki, Lissu alipiwe matibabu

    We jamaaa unalalamika kila siku, kwann usifanye siku moja ukaweka uziwako humu ukatema nyongo uliyonayo halafu ukaachana na mpango wa kulalamika ukajikita ktk kutafuta suluhisho ya matatizo ya serikali yetu
Back
Top Bottom