Nitakubali kuchanjwa,Ikiwa Ntahakikishiwa majawabu yafuatayo kama ni Sahihi au Laa
/// Namuunga Mkono Gwajima kama ntapingwa na Maswali Haya
1.qn, Nikipata chanjo ntaacha kuvaa Barakoa!???
Jibu: Hapana
2.qn, Nikipata chanjo,Shule Mikusanyiko,Biashara,Kukaa mbali mbali, na vinginevyo vitarudi...