Acheni kupotoshana pigeni kura utasemaje humpendi mtu fulani wakati kwenye mabadiliko haupo kama shida ni CCM si kuna Chauma mchagueni huyo au shida ni mnataka lissu awe rais kama ni upinzani ka CUF ni wapinzani wachagueni
Mkuu haya mambo ya umri alafu sisi tunayaendekeza sana sana mimi binafsi nafanya kazi na mcroasia ana miaka 22 ameoa na ana watoto wawili haya mimi mkubwa kwake why nionekane mdogo
Mkuu ningekuwa naishi naye mimi si ningekuwa namlamba vitasa deyle
Unajua mkuu hayo mambo siyaweki sana akilini ila now nimejua ukweli yapo maana hamna alichokuwa anakosa mkuu hamna alichotaka akakikosa inakuwaje mtu aseme anataka kuondoka hivihivi tu nimeamini kuna kitu alafu alipoenda kaenda...
Mwezi wa nne alienda pasaka kwao kama familia wakakutana akaulizwa mbona hata hauji nyumbani kwangu na hatukai mbali akamwambia tutakuja sasa alivorudi huku akasema anataka aende kwa baba mdogo nikakataa nikamwambia si mlikuwa wote moshi sasa kuzurura ya nini ni hivo mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.