unajua ndo mana tunawaambia sio kusoma tu darasan soma tafakar vzur huu ni utoto kabisa uliooandika mbona LOWASA RAFIKI WA KIKWETE INA MAANA NI PIGO KWA KIKWETE::raila na magufuli ni marafiki tangu enzi sasa na urafiki wao hauna uhusiano na kuongoza inchi kwan raila hajawah kuwa rais hiv...
d
adaah kwel jembe hata marekan na ulaya na inch zilizoendelea sionag vyama vyao baada ya uchaguz kuisha et kuzunguka inch nzimakufanya siasa bal hupambania bungen na vikao vya vyama
hii stail mliyotumia chadema kwa mawazo yangu;;mkipeleka kes mahakaman juwa kuwa kuna uwezekano pengne kesh ikasikilizwa na kuhairishwa hairishwa mpaka mnajikuta 2019 hii hapa;;mnashangaa hukumu inatoka kuwa nihaki kufanya mikutano;; ni bora mfanye utafit ni namna gan mnaweza kueneza siasa zenu;;
yamindinda,
w big up mkuu watu wanacomment kwa ushabik tu hata kuchungulia sheria inasemaje hawatak lkn mtu anakwambia kaonewa::anasubir kiongoz wake atoe .msimamo na yy achukue huo huo:::kutafakar nooo
Tetty,
hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:narudia tena hakuna masomo wala profesional ya kusomea ili uwe rais:kuna marais weng dunian hawakusoma sheria lakin wamezifikisha inch zao katika uchumi uliobora zaid:kiongoz bora hupimwa kwa matendo na uwezo wa kusimamia maendeleo...
siasa sio kupinga kla ktu kwa uelewa wangu;;;na katika siasa pia kuna propaganda pia::hata marekan tunaita baba wa democrasia democratic hawaping kla ktu:::siasa ni kuunga mkono jambo la maslah kwa umma na kupinga jambo lolote lisilo na maslah kwa umma:::
wakati katiba ya chenge inapita lowasa alikuwa wap;;wakat msimamo wa ccm serikal mbili lowasa;;sumaye walikuwa wap kupinga muundo huo na kudai serikal tatu na mambo kibao::kla sku mnaambiwa siasa inabadilika kulingana na muda hakuna adui wa kudumu wala rafik wa kudumu kwenye sias::;POLITICS IS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.