Matumizi ya fedha Zilizo katwa Kwa wabunge ni Kwa mujibu wa Katiba ya CDM na Nadhani hawapaswi kuingiliwa Katika hili, Kama wabunge wenyewe Hawa lalamiki zaidi ya wale tu Walio fika bei.
Kwahiyo, Wala Hakuna haja ya kujua fedha halali walizo changia kuimarisha chama ni tatizo Kwako.. Basi...
Hii ni kauli ambayo ni mbaya Sana, Kwa Nini kuongoza wanyonge tuu badala ya kuongoza watu wenye uwezo wa kujinasua kimaendeleo ili tuwe Katika viwango vya kutotumika na wanasiasa Kwa maslahi yao binafsi, so disgusting kuita wanyonge!
Tayari hutumika kisiasa Kwa sababu ya Wazazi wengi wanafurahia kutolewa kwenye majukumu na wajibu wao, Mfano Nimesoma koment Moja mtu anadai kuwa walimu hutoa rushwa ili mawazo yao yapite kwenye kikao cha Wazazi... Am very sorry mzazi Hujielewi, tambua wanaoumia Ni Watoto wenu na watarudi kwenu...
Hivi Huyu #Archbishop Kinacho kukera Ni Huduma unayo tolewa au unakerwa na lugha inayo tumiwa na Wafanyakazi wa UDART...
Kwa sababu Kama Ni kilugha maranyingi wanaongea wakiwa peke yao ,Lakini mteja anahudumiwa Kwa lugha ya Kiswahil ......huo ulionao na upofu wa fikra.... Pale Hakuna ukabila
Ufalme wa mungu huwa kuna utajiri mkubwa na nashangaa vyombo vya serikali kuwa na haraka ya kudakia mambo Bila kujua dini, Theological preaching are not that much easier to be understood by any body coz they are always parable and therefore TRA should be careful on judging the they how...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.