Recent content by Sammc

  1. S

    Kilio cha msaada wa dhati, nateseka

    Pole sana kaka yangu mengi wamesema wenzangu amini umeshapata kazi kwa jina la yesu zidi kumwomba mungu ,riziki yako ipo imeandaliwa na utaifulahia mungu akupe uvumilivu kwani ni mapito tu na yatashindwa kwa jina la yesu,(ubarikiwe)
  2. S

    My sad story, Let's share with all of u

    Pole sana kweli maisha ni kujifunza endelea kumweka mungu ktk maisha yako mtumaini kwa kila jambo utashinda
  3. S

    Maziwa yanatoa maji

    Just do investigation before anything like urine pregnancy test by using (UPT STRIP)
  4. S

    Moyo uliao machozi....!

    Pole sana jipe moyo ,muombe mungu kwa imani atakupatia mwenza wako yaani wa ubavu wako kabisa sisi ni binadamu na ni majaribu mengi tunayokutana nayo hasa ktk mahusiano.unanikumbusha 1month now nilipata issue kama hiyo lkn kwa maombi na ushauri wa hapa jamvini nilijiona nipo na wenzangu kimawazo...
  5. S

    Upatapo safari, umuacha/unamwaga vp mpenz/mke/mume wako?

    Nzuri muombe mungu/mkabidhi kwenye safari nzima then ombea familia yako unayoiacha then mambo mengine like kiss+and everything
  6. S

    Wanaume Madaktari bingwa wa kinamama

    Ok niwaambie kitu dr ni dr awe wa kike au wa kiume wote wana maadili yale ambayo walifundishwa kuwafanyia wagonjwa hata mimi ni dr wa kike sijaona tofauti kati yetu napenda kuwaeleza wenzangu either mwanaume au mwanamke humu jamvini usichague dr kwani hujui yapi yatakukuta
  7. S

    Jamani am back.....kabinti kangu!!!

    Cöngrats!!! wish the baby good health and enjoy life you +you're husband
  8. S

    Nimevunjika Moyo

    Pole sana mpendwa usijali hayo ni mapito tu isitoshe mungu analo kusudi lake endelea kumwomba mungu naye atakuongoze mshukuru mungu kwa hilo wala usijali pole sana
  9. S

    Nimefanya yote sasa naomba na nyie mseme

    Pole sana bro jaribu kuwasiliana naye kumweleza hisia zako kwake na umuulize anampango gani nawe then kama haeleweki chapa laba utulie umwombe mungu atakupa mwingine
  10. S

    Vituko anavyonifanyia mpenzi wangu

    Nishapoa mpendwa, ukweli sasa sitauliza hbr za laptop kwani nikizidi itaendelea kuniumiza majib anayonipa sasa ananiambia yeye ni handsome anatongozwa na wanawake kweli ni neno la kumwambia mwenzako? Ila nimefarijika thanx all
  11. S

    Vituko anavyonifanyia mpenzi wangu

    Asanteni kwa ushauli wenu wapendwa kweli nimefarijika kwa ujumbe mbalimbali mi ni mfanyakazi serikarini .
  12. S

    Vituko anavyonifanyia mpenzi wangu

    Jamani mnipe ushauli,mimi nina mpenzi wangu nimekaa naye almost 2year mara nilimheshimu kama mume wangu mtarajiwa tangu hapo tulipoanza lakini siku zote uchumba ulishamiri na hatimaye aliniambia tuwaambie wazazi mi nikawaeleza home lkn bse yeye yupo chuo 2nd year tulikubaliane amalize shule...
  13. S

    Nimeachana na hawara nachanganyikiwa

    Pole mdada cha msingi fanya utafiti kwa kina kuhusu huyo wa chuo hata kama ulikuwa naye kwani siku hizi na balaa na kama mume wako mapenzi yamepungua hata ufanyie jema lolote atakuona kama hufai kwake kwani asilimia kubwa wanaume hawafai hata kidogo pole mwaya
  14. S

    Nimefiwa na mama yangu mzazi

    Bwana alitoa bwana ametwaa jina la bwana libalikiwe uzidi kumtanguliza mungu kwa kila jambo kwani wote ni wapitaji duniani pole na mungu akuongoze
  15. S

    Raha jipe mwenyewe!!

    Ee....hiyo kali anabania maji aoge na kesho humo its me sammc
Back
Top Bottom