Visenti
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 1,025
- 327
Sijui kwa nini Masangoma wanaaminika sana kuliko ma-Daktari wa ukweli, Sangoma akisema mwache mkeo akae hapa kwangu nitamfanyia dawa kwa mwezi mmoja, wanaume huwa hawalalamikii, hasa wanawake wenye matatizo ya kutopata mimba, utakuta Sangoma anasema eti inabidi dawa ya kufungua kizazi anaipaka ktk nanihii yake ya kiume ndyo itakayotumika kusugulia dawa ukeni iingie vizuri, kutwa mara mbili kwa mwezi, akina mama hawalalamiki!