Recent content by sameer eltamim

  1. S

    JamiiForums Tanzania For sale

    How much
  2. S

    JamiiForums Tanzania Juice ya ajabu: Ni dawa, kinga na virutubisha vya kuongeza nguvu za kiume na kike

    Hii nomaaa.naisubiria hyo supu chacha..... Na embe jee unaweka mangapi au kilo piaa....:)
  3. S

    JamiiForums Tanzania Sikieni hoja za wazanzibar

    Mr nguruvi.ni kweli maneno yako tuachieni tupumuweeeeeeeee jamaniii.mshatutaguna sanaaaaa.fedha zetu mshakula sanaaaaa.lkn nashangaaaa bado mnataka muungano.mnalazimisha muungano kwasabau mtakosa mnachokipata kwetu. Hatutakiii jamaniiii tuacheni tupumuweeeeee
  4. S

    JamiiForums Tanzania Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

    Samaritan: hujAskia kama kumwagiwa tindikali dar waislamu bt umesikia kuchomwa kwa makanisa nafkiri.so bora aathirike mmoja au kwa wengi?
  5. S

    JamiiForums Tanzania Sikieni hoja za wazanzibar

    Mzee mwanakijiji.hapo nakukosa kidoogo wazanzibati na watanganyika sio watanzania.la pili wazanzibari washazoea kupakwa matope na serekali ya tanganyika.nakupa mfano: kulitokea uhalifu wa makanisa znz.waziri wa ulinzi alikuja moja kwa moja znz na akatangaza kwamba kuna ugaidi znz mbele ya...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kinana: Serikali tatu ni hatari, itasababisha machafuko

    Hata muungano ukivunjika kwani kiuna hasara gani zaidi ya faida.huoni wazanzibari wanalia kila siku kwa hio muungano sasa kuna faida gani huo?si bota tu uvunjike ndio bora zaidi.tanganyika watakuwa free na wazanzibar watakuwa free pia.kila nchi itakuwa na mamlaka yake kamili.wananvhi wa...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kinana: Serikali tatu ni hatari, itasababisha machafuko

    Sasa hvi ndio kuna machafuko bwana kinana.au machafuko ya huyaoni ya wazanzibari na tanganyika.usionge vitu ambavyo kama vile haunavo akilini.suluhisho la kuendelea machafuko ni serekali tatu tu.hakuna zaidi ya hapo.kama walimwengu watashangaa basi waache washangae tu ila sisi wananchi...
Back
Top Bottom