Tatizo kubwa la waislam ni kuwa hawana chumbo cha kuwa semea. Bakwata ni chombo cha kiafiri cha kuhakisha kuwa mipango ya kuwakandamiza waislam wa Tanzania inafanikiwa. Mbona serikali imekubali kuwepo kwa ubalozi wa kanisa?
Kama sio KGB Urusi ingekwisha na kutoweka duniani. tumeni vijana kwenda kujifunza jinsi usalama wa taifa unavyotakiwa kufanya kazi zake.
msione vyaelea ni wananchi chini ya ubantu wao.
Nashanga wakristo wana dini mbalimbali kama RC, MENONIGHT, KKKT, ANGLICAN nk na wote waliwakilishwa kwani waislamu ni BAKWATA TU. Hongera wajumbe wa BAKWATA kwa kuchoka kuwasaliti wenzenu, Tanzania si ya wakristo, Tanzania haina dini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.