Recent content by sambb

  1. S

    Je, ni kweli SAUT "wanagawa GPA kubwa" kwa wanafunzi wao ili wawe marketable kwenye soko la ajira?

    Msikariri maisha, unajua tatizo wanafunzi mkiwa vyuoni mnajidanganya sana, mara Chuo X ni bora kuliko chuo Y. Malizeni vyuo mje mtaani ndo mtaelewa, huku mtaani waajiri wanaangalia una nini kichwani? Unajua nini? Mtaitwa kwenye usaili wote sio chuo wala GPA itayokuokoa... kitachokupitisha usaili...
  2. S

    JE USEMI WA KUWA UKISOMA COMPUTER SCIENCE HAKUNA AJIRA NI KWELI?

    Kwenye ajira huku bongo huwezi ona tofauti yake, lakini ni fani zenye malengo tofauti lakini zinaingiliana na kutegemeana. 1.Computer Science- inahusu kubuni na utengenezaji wa mifumo ya kompyuta( mobile apps, programs, applicatins & Softwares) 2. Information Technology- inalenga kufanya mifumo...
  3. S

    JE USEMI WA KUWA UKISOMA COMPUTER SCIENCE HAKUNA AJIRA NI KWELI?

    IT/ Computer science ni fani zenye ajira na zina uwanja mpana( kujiajiri & kuajiriwa) , ni fani inayohitaji passion na kujituma zaidi nje ya videsa vya Darasani. Mwambie kijana asome vizuri kwa vitendo mtaani ajira zimejaa ni swala la uwezo wake sasa. IT/CS inahitaji uwe mtaalam wa eneo fulani...
  4. S

    Tanzania Postal Bank

    Nimeitwa interview alhamisi tarehe 12 june 2014 tanzania postal bank, post ya credit officer group lending. Jamani wanalipa kiasi gani kwa hii post?? Salary na allowance? Thanks
  5. S

    Watu 10,800 wapitishwa kuwania nafasi 70 tu Uhamiaji!

    jamani hili danganya toto tu nafasi za watu hizo. uhamiaji kubebana ndo zao. mwombeni mungu sana mloitwa afungue njia.
  6. S

    Updates from PPF

    jamani wameiita post gani? benefit trainee au contribution trainee?? tujulishane
  7. S

    Actionaid Tanzania

    sawa kaka nakusubiria nipate detail vizuri. shukrani.
  8. S

    Actionaid Tanzania

    Hello jf, kwa anaewafahamu ngo tajwa hapo juu utendaji wake wa kazi naomba anifahamishe,na pia kama kuna mtu alishawahi kufanya internship hapo anifahamishe kama wanalipa posho kidogo hata za nauli? Natanguliza shukrani.
  9. S

    Vipi kuhusu Akiba Commercial Bank

    dah pole sana kaka, tushaanza training pale BLUE PERL TANGU JUZI JUMATATU.
  10. S

    BOT wameniita kwenye aptitude

    jamani kuna aloitwa kwa post ya business analyst?
  11. S

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Jamani uhamiaji hawajatoa shortlist yao? Pressure tupu,tujuzane.
  12. S

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Watu wengine bhana, jifunzeni kuandika kichwa cha habari kinachoendana na maudhui basi. Duuh
  13. S

    Jamani, mbona wanaonipenda siwapendi na ninaowapenda wanawekea pozi hawaeliweki?

    Utavuta shuka kumekucha kama dada yangu mmoja. tatizo lenu wasichana wengi wa siku hizi mkiwa na umri kati ya 18-25 mnachagua saana mnataka ma HB. sasa mkishadoda around 26 years na kuendelea mnadondonkea kokote. poleni sana. jifunze kumpenda anaekupenda na baada ya muda utajikuta unampenda sana.
  14. S

    Oral Interview Equity Bank

    Hawa equity bank jana walitutumia meseji tulofaulu written interview wakasema leo tutagiwa simu kwa maelezo zaidi kuhusiana na oral interview siku itayofanyika. Jamani kama kuna mtu alokwisha pigiwa atujulishe.natanguliza shukrani.
  15. S

    Oral Interview Equity Bank

    Asante sana mkuu.
Back
Top Bottom