Recent content by sambasha

  1. sambasha

    Ole Millya "Nimehamia CCM kwa maslahi ya wananchi"

    Hata ningekuwa mmi ningetoka tuu lazima mtu ajiongeze kutumia fursa iliyopo huko cdm ssa ni uvumilivu tuu wengi wanatamani kuhama ila ndo hivyo shy flani
  2. sambasha

    Mrisho Gambo alazimisha kujengewa nyumba na wafanyabiashara

    Hiz fitina tuu kila siku mnarekebisha acheni majungu fanyeni kaz.
  3. sambasha

    Arusha hakuna ukarimu kwa wateja

    Tatizo lako umeenda seheem iliyo busy wateja wengi sehem kama hizo popote pale huduma huwa ivyo hata stendi kipindi cha december unaingia had ndani hakuna mtu anakuuliza unaenda wapi
  4. sambasha

    Je, mjamzito anaruhusiwa kufunga mkanda wa gari wakati wa safari?

    Unamuambia ipo kwa mwenzake unadaiwa fine
  5. sambasha

    Tuliopo Moshi Kilimarathon 2018 tuonane Hugo's Garden tushangweke

    Njoo mekuz imeshona mtu kibao namuona gadner g na ben kinyaiya kwa mbaaali
  6. sambasha

    Jinsi nilivyonusurika kutapeliwa!

    Siku zote ukiweza kuepuka tamaa kamwe huwez tapeliwa bongo
  7. sambasha

    Wimbo wa Papii Kocha umenitoa machozi

    Sure nyimbo nzuri
  8. sambasha

    Miliki nyumba mpya kwa mil 32 tu

    sawaa ssa mmi nna mpango wa ujenz kuanzia 2020 safari city arusha na nnataka nyumba ya 3 bedroom itakuwajee?
  9. sambasha

    Polisi: Hakuna sheria inayolazimisha gari kusimama ktk vivuko vya pundamilia kama hakuna anayesubiri kuvuka

    Mimi nmeshuhudia gari limesima na hazard juu lakini wa nyuma yake akaja na akamgonga ,arusha juz ndani ya zoezi
Back
Top Bottom