Hila kweli kama nimabovu kwanini watakiwe kulipia kodi?fedha ni bora zaidi y a afya za watanzania. Issue ya sumu ya nafaka isije tumaliza bora wa ya rudishe.ongera mkuu kwa kutoa hiyo siri.
Wewe kura mara yakwanza ziliesabiwa siku 3,marudio 1 tafakari je alipata hiyo asilimia?au wakati wa marudio network zilipatikana,au ndio mikakati unayo sema.
Niwangapi mmeshamtukana yesu?je mbona niwengi wameshamtukana s.w lakini aliwasamehe.ebu waza yule aliyekojoa msikitini mtume alitoa maamuzi gani?wacheni miemko.nijana tu nilimpa lift rafiki yangu (mwanamume) pale kwenye gari na bibilia pamoja na rozali lakini akadharau nakunitolea maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.