Yupo hai, anaishi Mwanza!
Kafungua Bar yake,
Swala la mwangosi linamtafuna Sana Hadi Leo, pia Lissu!!
Hapo Bar ukisia habari za Mwangosi na Lissu huwa anakuwa mnyonge na kuondoka kbs
Umeandika kishabiki zaidi,
Kuna tofauti kubwa ya lugha na uelewa,
Kwa kuwa kazi nyingi zinatafutwa kwa lugha na si uelewa hapo tatizo!!
Lugha Ni swala la mawasiliano tu, mpime mtu kwenye utendaji na vitendo!!
Wachina hawajui kiswahili Wala kingereza lkn wamejaa Africa na wanafanya kazi sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.