Recent content by Sam pizzo

  1. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Kenya kuna official stores za makampuni mengi ya kielektroniki. Walichagua kama "The African hub for electronics" ndio maana bei zake ziko chini kushinda bongo.
  2. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Brand new ,na nikapata screen warranty ya mwaka mmoja
  3. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Nina deal za FAFSA loans. Mwenye akounti m

    Mkuu unaweza nielekeza jinsi ya kupata hizo loans ,sehemu Niko vijana wengi wanatajirika na hizo mambo. Na Je vp kuhusu kutrackiwa na wahusika
  4. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Samia na Kikwete Madaraka kwao ni bora kuliko taifa

    Si kwa ubaya lakini Baba yangu aliwahi kuniambia nisioe watu wa pwani Sababu ya malezi yao ni ya Kiswahili mno. Na hii inajionesha kwa viongozi wanaotoka huo ukanda
  5. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Parcel from Nairobi to Cheltenham, United Kingdom,ulifika salama baada ya week moja.
  6. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    110,000 kshs ~ 2.2M East Africa version
  7. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Mkuu kuna shop ya Samsung nilinunua hii S24 ultra yangu hapa Nairobi wako chini kuliko Avechi. Kama kuna MTU atahitaji anicheki nimsaidie kununua na kutuma kwa ujira ndogo.
  8. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Wanaume dhaifu mmeona game ilivyochezwa na 'Russian guy?' Kikombe cha maji and straight to bed

    "Hello".. "My name is Yarastev from Russia" "You look good" "I like to see you in the evening" Jioni mwanamke anachukua hadi gari ya bwanake anampelekea uchi Dimitri Yuratsev
  9. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN ungepost hata episode moja au upo busy na birthday ya Stacey
  10. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Pole sana kwa matatizo mkuu
  11. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu niamini Iryn ni mrembo sana ,nimepata handle yake ya IG na Tiktok.Kiukweli ndugu yetu INSIDER MAN amebahatika sana
  12. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Inasafirishwa
  13. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nimetafuta hadi nimemjua Iryn (Mama Ariana)kupitia hiyo Instagram account na picha zake nimeziona
  14. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Mkuu nieleze ulikua unahitaji kitu niulize kwenye courier company kama watasafirisha na charges zake
Back
Top Bottom