Recent content by Sam pizzo

  1. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Samia na Kikwete Madaraka kwao ni bora kuliko taifa

    Si kwa ubaya lakini Baba yangu aliwahi kuniambia nisioe watu wa pwani Sababu ya malezi yao ni ya Kiswahili mno. Na hii inajionesha kwa viongozi wanaotoka huo ukanda
  2. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Parcel from Nairobi to Cheltenham, United Kingdom,ulifika salama baada ya week moja.
  3. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    110,000 kshs ~ 2.2M East Africa version
  4. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Mkuu kuna shop ya Samsung nilinunua hii S24 ultra yangu hapa Nairobi wako chini kuliko Avechi. Kama kuna MTU atahitaji anicheki nimsaidie kununua na kutuma kwa ujira ndogo.
  5. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Wanaume dhaifu mmeona game ilivyochezwa na 'Russian guy?' Kikombe cha maji and straight to bed

    "Hello".. "My name is Yarastev from Russia" "You look good" "I like to see you in the evening" Jioni mwanamke anachukua hadi gari ya bwanake anampelekea uchi Dimitri Yuratsev
  6. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    INSIDER MAN ungepost hata episode moja au upo busy na birthday ya Stacey
  7. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Pole sana kwa matatizo mkuu
  8. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mkuu niamini Iryn ni mrembo sana ,nimepata handle yake ya IG na Tiktok.Kiukweli ndugu yetu INSIDER MAN amebahatika sana
  9. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Inasafirishwa
  10. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nimetafuta hadi nimemjua Iryn (Mama Ariana)kupitia hiyo Instagram account na picha zake nimeziona
  11. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Mkuu nieleze ulikua unahitaji kitu niulize kwenye courier company kama watasafirisha na charges zake
  12. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Mkuu inategemea na uzito wa kifaa husika Sababu ya usafirishaji
  13. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Mahitaji na manunuzi ya vifaa vya kielektroniki kutoka Nairobi

    Fluke 1630-2fc earth meter with clamp
  14. Sam pizzo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Upi ni muda sahihi kumeza dawa za minyoo?

    Inategemea na Aina ya dawa ,mfano dawa ya minyoo Aina ya Albendazole inafaa utumie asubuhi tumbo likiwa empty na Aina nyingine ni mebendazole hii ufanisi wake ni utumie baada ya Kula.
Back
Top Bottom