KnucleBreaker
Member
- Jan 10, 2022
- 17
- 25
Naomba kufahamu bei ya LG Nano86 LED TV 55” pamoja na PS5 kwa Nairobi.
LG nanocell 86 LED 4k 55" ina range from 100,000kshs( 2,100,000Tshs) to 105,000kshs( 2,205,000Tshs)Naomba kufahamu bei ya LG Nano86 LED TV 55” pamoja na PS5 kwa Nairobi.
Nitakuchekia nikupe feedback mkuuMkuu nataka hii ni x ray portableView attachment 2296452
Mkuu so far nimepata hiyo ,kama kielelezo cha picha kinavyooneshaMkuu nataka hii ni x ray portableView attachment 2296452
Mkuu hii hapanaMkuu so far nimepata hiyo ,kama kielelezo cha picha kinavyooneshaView attachment 2299920
Ndo tunavyoaminishwagNi swali zuri mkuu,
kKkubwa ni mm niwe mwaminifu kwenu ili biashara iwe endelevu kwasababu nikimuibia mtu humu nitaharibu biashara. Mathalani nidhulumu milioni moja ya mtu haitanifikisha mahali na nitakuwa nimeharibu uaminifu hivyo kupelekea biashara kufa.
Jambo lingine ni imani ni kama unavyoagiza mzigo/kifaa kutoka kampuni binafsi za nje ya nchi kama AliExpress, Alibaba, Ebay. Mimi nimependelea kutumia muda wangu wa ziada kuingiza kipato kidogo na kwa wakati huohuo nakusaidia kupata kifaa/vifaa unavyohitaji kutoka huku Kenya maana nimeona watu wengi wakiwa wanaulizia sana. Chief-Mkwawa amekua akipendekeza sana vifaa vya kielektroniki watu wanunue huku Kenya kutokana na unafuu wa bei kulinganisha na huko Tanzania.
Kama nitakuwa nimekosea naomba kurekebishwa na pia kama kuna njia inayoweza kutengenezwa ya uaminifu inakubalika yakitolewa mapendekezo ni sawa; mfano kutuma pesa kwa njia ya PayPal