5.Nakugomea hapa,Kibu Denis ni mchezaji wa hovyo sana,ukijumlisha na Mutale na Balua,watu wanakimbia hovyo tu,pa kutoa pasi anakimbia akapoteze,pa kukimbia anatoa pasi,mediocre players kama Kibu,Balua ndo wanatucost.
Mchezaji mzuri ana takwimu nzuri za assist na magoal,sasa mtu msimu mzima ana...
5.Nakugomea hapa,Kibu Denis ni mchezaji wa hovyo sana,ukijumlisha na Mutale na Balua,watu wanakimbia hovyo tu,pa kutoa pasi anakimbia akapoteze,pa kukimbia anatoa pasi,mediocre players kama Kibu,Balua ndo wanatucost.
Mchezaji mzuri ana takwimu nzuri za assist na magoal,sasa mtu msimu mzima ana...
Mkuu Mimi ni mtaalamu wa Telecommunication Engineering,hapo hujahackiwa kilichofanyika ni call forwarding,yani umesajili umeshamaliza ukimpa simu yako anafanya hiyo forwarding,call zinapita kwako na kwake
Acha kufikiria kwa kutumia hisia mkuu,shirikisha akili yako,kwenu tu Kuna masikini Kibao hata Milo mitatu hawawezi kumudu.
Unakuja na hoja dhaifu ya kumpa Zawadi mtoto wa Aliyekuwa Tanzania one,waulize Wana miradi mingapi,majumba,mahotel na mahela kiasi gani bank mpaka unakuja kumuonea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.