5.Nakugomea hapa,Kibu Denis ni mchezaji wa hovyo sana,ukijumlisha na Mutale na Balua,watu wanakimbia hovyo tu,pa kutoa pasi anakimbia akapoteze,pa kukimbia anatoa pasi,mediocre players kama Kibu,Balua ndo wanatucost.
Mchezaji mzuri ana takwimu nzuri za assist na magoal,sasa mtu msimu mzima ana...