Maan Kila mtu akitoa wazo wengi hata hawasomi ni matusu tu Kama mtu umeamka na Mawazo ya kifara sibora upigane na maisha yako
Kiukweli hi Tania si nzur pia Ina boa sana
Siku zote mtu mjinga kinvuli chake ni kifupi
Sasa na wewe kwa sabab umekata tamaa ya maisha unataka uwaharibie na wenzako
Nina mashaka na wewe huenda hata simu unayo tumia umeazima kwa sabab kichwa kisicho fikiri ni mzigo kwa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikupe pongezi kwa kufikia hapo unachotakiwa ni kuangalia wapi Kuna mwanga wa mafanikio
Kama Physics imegoma isikufanye wew kuendelea na malengo yako , vpo vyuo vingi Sana nchini kutokana na masomo yako
"What you think is what you Become"
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.