Maan Kila mtu akitoa wazo wengi hata hawasomi ni matusu tu Kama mtu umeamka na Mawazo ya kifara sibora upigane na maisha yako
Kiukweli hi Tania si nzur pia Ina boa sana
Siku zote mtu mjinga kinvuli chake ni kifupi
Sasa na wewe kwa sabab umekata tamaa ya maisha unataka uwaharibie na wenzako
Nina mashaka na wewe huenda hata simu unayo tumia umeazima kwa sabab kichwa kisicho fikiri ni mzigo kwa miguu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nikupe pongezi kwa kufikia hapo unachotakiwa ni kuangalia wapi Kuna mwanga wa mafanikio
Kama Physics imegoma isikufanye wew kuendelea na malengo yako , vpo vyuo vingi Sana nchini kutokana na masomo yako
"What you think is what you Become"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kiukweli haunifahamu vizuri Mimi nisoma University nje ya Nchi
Huo uzi no swaga tu Mimi ni mtaalamu Sana nimeleta huo uzi kuwapima watu
N
Pia nimegundua watanzania wengi wanachukulia vitu kirahisi
Kama Kuna kitu unataka kujua zaidi kuhusu Mimi
Please contact me
Via WhatsApp ...
Services Kama vile Social media Marketing, Software Installation, Software Engineering, Software Developer, Blogging, Web Design , Video Editing , Animation,
Animal keeping, DJ ,Music Production , Film Making ,Game Designer, Graphic Designer
*Adobe Software System
*Amazon Web Services...
Bro kwanz samahan kwa heading yangu hapo juu Kwanza wew umesoma ndio maana uko humu JF
Naposema walienda shule namani mtu awe na uwezo wa kutoa hata walau ushauri kidogo katika kampuni
Binafsi nakukaribisha Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka Mpatto na maanisha hizo devices zitatumika sehemu kubwa katika kazi kwa mfano Laptop/Desktop hii Kila mtu anajua matumizi
Labda niongelee PS4 hi inatumika kustream gaming online
Na kwa Yule aliye uliza Ina lipa kijijin ,
Iko hivi bishara za Internet ni dunia nzima kwani Kijiji chako Kiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.