Recent content by sam-Akida

  1. S

    Football business, Simba imepata hasara kubwa kufikia fainali shirikisho kuliko isingeshiriki kabisa

    Mkishalewa kande na Azam energy mnajikuta wachambuzi nguli.
  2. S

    Gastric na gesi tumboni inavyoniua

    Habari wakuu Nimetafuta japo uzi wenye kuelezea dawa kwa aliyekwishanza kuathirika na gastric. Naombeni msaada naishu kwa kutafuna tangawizi usiku kucha
  3. S

    Yaani Tundu Lissu hatoki, Kila mkipiga makelele ndio mnamponza

    Akifija mnapotaka tu /Bei mnamuacha na cdm inashiriki huu ..
  4. S

    Toka simba acheze shirikisho kwa mara ya kwanza kapata kipimo sahihi

    Mbn huwazii fatigue ya wachezaji!?
  5. S

    PreGE2025 John Heche: OCD mimi sio Mke wako, nasema huna chakunifanya hii nchi sio ya Mama zenu

    Jokate kwa aliyoyafanya nyuma alikuwa na unachoita ethics
  6. S

    Alikuwa vizuri mwanzo lakini baada ya kumuweka ndani rangi zote nimeshaona

    Wa kaskazini huyo. Hapo huna mke akisema tu narudi kwetu kesho pakia kila kitu kwa gari drive mpaka kwao. Au mwambie tukasalimie Kisha we chomoka muache kwao
  7. S

    JAMVI LA WANAWAKE: Mshaurini binti kayavaa na mwanaume wa South Africa

    Kwa mwanamke kila afanyalo mwanaume ujue mbeleni Lina masimango dhidi yake. Nimlee bila ubaguzi mtoto akijua mm babaye,akianza kufanikiwa mwanamke unamwambi huyu si baba yako na sumu kibao, ukoo wako ni huu (egemeo kuwa mwanaume ukifulia mkitofautiana ye kwa mwanaye). Wanaume Hawa wanawake siyo...
  8. S

    Ibrahim Traore: Huu ndo ujinga na upumbavu wa Waafrika!

    Usipige kelele za chuki mmefanya mapinduzi ktk secta inayogusa uchumi wa mwanachi wa chini ntiwe wenye democrasia mnaosifu hata mtu akiuww. Chukua hii Burkina Faso’s tomato leap: A wake-up call for Ghana
  9. S

    Ibrahim Traore: Huu ndo ujinga na upumbavu wa Waafrika!

    https://citinewsroom.com/2025/05/burkina-fasos-tomato-leap-a-wake-up-call-for-ghana/
  10. S

    Mke wa mtu ananitongoza, anatishia kuniendea kwa babu Niki endelea kumkataa

    Kimbia Kama Yusuph ila ukitakuwa Daudi jiandae kuoakwa mafuta
  11. S

    Kwa laki 3.5 Ninunue simu gani?

    Nunua Samsung Galaxy S series hata 21 used hutojuta
  12. S

    Tiba ya ugonjwa wa Kansa aina zote inapatikana kupitia njia hii hapa

    Wamaanisha jukwaa liwe darasa huo mtego hujawahininasa. Nilichokuwa nachangia awali ni watu kubishA kuwa Cancer Haina tiba, hyo ni mpaka wanikata kichwa ntakataa. Mkatoa ushuhuda na kwann watafiti nchi hii hawasikiki, wamkumbuka yule Mzee aliyekuwa akiforce kutengeneza dawa nchini kutumia hizi...
Back
Top Bottom