Recent content by Salvezza

  1. S

    JamiiForums Tanzania Shamba boy nimekosa site wawekezaji mnakaribishwa tufanye kazi

    Upon tayari kufanya kazi mkoani
  2. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Hii story mbona ilishaisha
  3. S

    JamiiForums Tanzania Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

    Kuna mama mmoja alizaa watoto wengi wa kike alipo beba mimba mimba nyingine akaenda kipiga ultra sound akaambiwa wa mtoto ni wa kike akaenda Kwa mganga kumbadilisha awe wa kiume. Baadae akaachana ma mumewe mtoto akalelewa kwa bibi kizaa baba. Sasa Kwa bibi Kuna mtoto mwingine was shangazi mtu...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu alijiua kisa mapenzi

    Huyo Aisha yupo wapi kwa sasa
  5. S

    JamiiForums Tanzania Binti asiye na wazazi au mwenye wazazi yupi anafaa kuwa mke?

    Hivi no kweli kwamba yatima huwa na bahati
  6. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Hujatuelezea kuhusu mahusiano ya Babu yako msekwa na Fetty. Ilikuwaje
  7. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Shusha basi
  8. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kuitwa YATIMA mwisho ni miaka mingapi?

    Aisee kuwa yatima kusikie tu, lakini yakikukuta utaimba haleluya, utalia wee mpaka utachoka, utawaza sana lakini ndio hivyo Tena wazazi hawapo. Aliyesema yatima hadeki hakukosea kabisa.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Yajayo yanafurahisha.. shetani Hana rafiki anachofanya ni kukurushia punje ya Michele afu akunyonge
  10. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Kwa hiyo tusubirie nyingine mpaka j. Tatu unapenda sana kubembelezwa
  11. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Kwa hiyo huyo jini Fetty namba yake ya simu ilikuwa inatoka direct from kuzimu ama?
  12. S

    JamiiForums Tanzania Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Stori ni nzuri mno tatizo unatupiga kalenda mno.. hiyo usiku mtoto si atakuwa analia
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mapishi ya cake online

    Hata kama mtu anajua , ujuzi unatofautiana hivyo ni vyema kuongezea
  14. S

    JamiiForums Tanzania Una bidhaa na wateja haba? Ukifuata mtindo huu hapa utapata matunda ya haraka zaidi

    Asante, umetisha mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom