puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,047
- 2,167
Habari za muda huu wana JF.
Kuna kitu huwa inaniboa sana na kunitia simanzi ambayo haina msingi kwa wakati huo.
Kwa mapenzi ya Mungu, kuna wengine tumepoteza wazazi angali tukiwa wadogo kabisa.
Tumeishi chini ya kivuli cha uyatima kwa kipindi kirefu, tumepitia mengi....Manyanyaso, kutengwa, Kuonekana hatufai, simanzi na kila aina ya maumivu.
Mungu kwa rehema zake ametusaidia tumekuwa wakubwa na maisha yetu yanasonga linatokea limtu kila likikuona anajifanya anakuonea huruma....."Eti maskini mtoto wa fulani, wazazi wako wamekuacha mdogo" Anaongea hivyo kwa masikitiko makubwa as if kuna juhudi zozote alifanya kipindi tunahitaji msaada.
Kiukweli hii kitu inaniumizaga sana inakufanya unarudisha mawazo nyuma na kujiona hujakamilika.
Mtu anamaisha yake hakutegemei kwa chochote kila unapomkuta...neno Yatima halikauki kwenye kinywa chako...mimi nahisi hata Mungu tunamkosea mapenzi yake yalitimia kama nikulia tumelia tukachoka sasa mambo ya kukumbushana machungu sio poa.
Kuna kitu huwa inaniboa sana na kunitia simanzi ambayo haina msingi kwa wakati huo.
Kwa mapenzi ya Mungu, kuna wengine tumepoteza wazazi angali tukiwa wadogo kabisa.
Tumeishi chini ya kivuli cha uyatima kwa kipindi kirefu, tumepitia mengi....Manyanyaso, kutengwa, Kuonekana hatufai, simanzi na kila aina ya maumivu.
Mungu kwa rehema zake ametusaidia tumekuwa wakubwa na maisha yetu yanasonga linatokea limtu kila likikuona anajifanya anakuonea huruma....."Eti maskini mtoto wa fulani, wazazi wako wamekuacha mdogo" Anaongea hivyo kwa masikitiko makubwa as if kuna juhudi zozote alifanya kipindi tunahitaji msaada.
Kiukweli hii kitu inaniumizaga sana inakufanya unarudisha mawazo nyuma na kujiona hujakamilika.
Mtu anamaisha yake hakutegemei kwa chochote kila unapomkuta...neno Yatima halikauki kwenye kinywa chako...mimi nahisi hata Mungu tunamkosea mapenzi yake yalitimia kama nikulia tumelia tukachoka sasa mambo ya kukumbushana machungu sio poa.