Recent content by Salvatory Bangi

  1. S

    Niliyoshuhudia leo, kama sio lazima usipande bodaboda

    Kwa kweli bodaboda ni usafiri hatari sana.
  2. S

    GE2020 Nape Nnauye: Msinilaumu mimi, Sheria ya kupita bila kupingwa ilikuwepo kabla sijawa Mbunge

    Mwanaume mzima unafurahia kupita bila kupingwa hii ni aibu
  3. S

    GE2020 Kampeni zashika kasi, kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Arusha. Shughuli zasimama, wafanyakazi watoroka makazini

    Tundu Antipas Mghway Lissu ndiyo habari ya mjini Tanzania kura nyingi sana ziende kwake
  4. S

    GE2020 Misungwi: Alexander Mnyeti hajapita bila kupingwa, Mgombea wa CHADEMA ameteuliwa kupambana naye

    Huyu kupita bila kupingwa inanikera sana ina maana huyu ni mbunge wa tume ya uchaguzi na wananchi bora kama inatokea hivi na tena kiuhalali bora zikapigwa kura za ndiyo na hapana lakini si kwa uhuni huu unaofanywa na mboga mboga.
  5. S

    Shibuda: Rais Magufuli hakufurahishwa na yaliyotendeka kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Uchaguzi Mkuu uwe wa Haki na Usawa

    Huyu mzee ni mnafiki sana kwani yeye ni msemaji wa rais tungepata kauli ya rais mwenyewe labda siyo huyu bendera fuata upepo
  6. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mita yangu nikinunua umeme wa Tsh 5000/= napata unit 14.10 wakati matumizi yangu ni ya kawaida hayafiki unit 75 kwa mwezi.Mita namba 01342437116.Asante naomba msaada wenu.
  7. S

    Mwigulu: Wanaosusia vikao vya Bunge wana mpango wa kushusha uchumi wa nchi

    Substitute ya dakika za mwisho kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Mbunge wa Kishapu, Suleiman Nchambi (CCM) mbaroni kwa kukutwa na Silaha 16 na risasi 536

    Jizi na jangili ccm ni kichaka cha watu wa aina yake Sent using Jamii Forums mobile app
  9. S

    TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

    Yaani hii channel inakula kodi zetu cha ajabu imekuwa ni ya chama cha mapinduzi haikosoi yenyewe ni mapambio tu kipindi ninachoangaliaga ni cheleko tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. S

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Yaani Vodacom hapa Katesh Hanang Manyara ni shida sana hasa internet iko chini sana inasumbua tatizo ni nini mbona hatuoni uhondo wa kuwa Vodacom? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Swali ili service charge iondolewe kwenye mita yangu ni vigezo vipi vinazingatiwa? Kwani mpaka sasa matumizi yangu ni chini ya unit 75 kwa mwezi. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom