Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Siwezi sema ni office gani niliyochukulia kadi lakini kwa ukweli nimeamini ile Slogan yenu ya Udugu mnaitekeleza.
Nimekuja kuchukua kadi nimelipia ada za mwaka mzima. Mmenipokea vizuri sana. Mmeonesha ukarimu wa hali ya juu.
Kwanza ofisini nimepewa heshima kubwa sana.
Pia mmenipatia mikakati mizuri sana ambayo kwa sasa ni siri yangu sababu kuna jimbo mtanipitisha nigombee lakini naiweka kama siri yangu.
Pia nimefurahi sababu mnatambua juhudi za Mh JPM za kupambana na ufisadi na kutekeleza miradi mikubwa katika utekelezaji wa ilani ya chama chake. Pia nashukuru kwa lunch la nguvu ambalo tulikula kwa pamoja na kutiana moyo.
Hivyo tusubili October ifike ili matakwa yetu yatimie.
Siasa si uadui. Tuwe wazalendo.
Nimekuja kuchukua kadi nimelipia ada za mwaka mzima. Mmenipokea vizuri sana. Mmeonesha ukarimu wa hali ya juu.
Kwanza ofisini nimepewa heshima kubwa sana.
Pia mmenipatia mikakati mizuri sana ambayo kwa sasa ni siri yangu sababu kuna jimbo mtanipitisha nigombee lakini naiweka kama siri yangu.
Pia nimefurahi sababu mnatambua juhudi za Mh JPM za kupambana na ufisadi na kutekeleza miradi mikubwa katika utekelezaji wa ilani ya chama chake. Pia nashukuru kwa lunch la nguvu ambalo tulikula kwa pamoja na kutiana moyo.
Hivyo tusubili October ifike ili matakwa yetu yatimie.
Siasa si uadui. Tuwe wazalendo.